4 Yehova atakapokuwa ameosha kinyesi cha binti za Sayuni+ naye atausafisha+ umwagaji wa damu+ wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,+
8 Nami nitawatakasa kutoka katika kosa lao lote ambalo kupitia hilo wamenitendea dhambi,+ nami nitayasamehe makosa yao yote ambayo kupitia hayo wamenitendea dhambi na ambayo kupitia hayo wamenikosea.+
11 Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo.+ Lakini mmeoshwa mkawa safi,+ lakini mmetakaswa,+ lakini mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo+ na kwa roho ya Mungu wetu.+