Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kama kukusanya fedha na shaba na chuma+ na risasi na bati katikati ya tanuru, ili kupuliza+ juu yake kwa moto kusudi ziyeyuke,+ ndivyo nitakavyowakusanya wao pamoja katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu, nami nitawapuliza na kuwayeyusha ninyi.

  • Malaki 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Lakini ni nani atakayeistahimili siku ya kuja kwake,+ naye ni nani atakayesimama wakati atakapoonekana?+ Kwa maana atakuwa kama moto wa msafishaji+ na kama sabuni+ ya wafuaji wa nguo.+

  • Mathayo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala+ lakini makapi atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki