Isaya 54:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Tazama! Mimi mwenyewe nimemuumba fundi, yeye anayepuliza+ moto wa makaa+ na kutokeza silaha kama ufundi wake. Mimi mwenyewe pia nimemuumba mtu mharibifu+ kwa ajili ya kazi ya kuvunja-vunja. Yeremia 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mivukuto+ imeunguzwa. Risasi inatoka ndani ya moto wao.+ Mtu ameendelea kusafisha sana kwa ubatili tu, na wale wabaya hawakutengwa.+
16 “Tazama! Mimi mwenyewe nimemuumba fundi, yeye anayepuliza+ moto wa makaa+ na kutokeza silaha kama ufundi wake. Mimi mwenyewe pia nimemuumba mtu mharibifu+ kwa ajili ya kazi ya kuvunja-vunja.
29 Mivukuto+ imeunguzwa. Risasi inatoka ndani ya moto wao.+ Mtu ameendelea kusafisha sana kwa ubatili tu, na wale wabaya hawakutengwa.+