12 Naye mfuaji wa chuma kwa kutumia tezo, amekuwa akishughulika kufanya hivyo kwa kutumia makaa; naye anaitengeneza kwa nyundo, naye anaendelea kushughulika kufanya hivyo kwa mkono wake wenye nguvu.+ Pia, ameona njaa, na kwa hiyo hana nguvu. Hajanywa maji; kwa hiyo anachoka.