7 Kwa hiyo fundi akamtia nguvu fundi wa chuma;+ yeye anayelainisha kwa nyundo ya chuma akamtia nguvu yeye anayefua kwenye fuawe, akisema hivi kuhusu ile lehemu: “Ni nzuri.” Mwishowe mtu akaipigilia misumari ili isiweze kuyumba-yumba.+
6 Kuna wale wanaotoa dhahabu kwa wingi katika kikoba, nao hupima fedha kwa mizani. Wanamwajiri fundi wa chuma, naye huifanya kuwa mungu.+ Wanasujudu, ndiyo, wanainama.+