Isaya 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kuna wale wanaomwaga dhahabu kwa wingi kutoka kwenye mikoba yao;Wanapima fedha katika mizani. Wanamwajiri mfua chuma, naye huitengeneza kuwa mungu.+ Kisha wanasujudu, naam, wanaiabudu.*+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 46:6 ip-2 99 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 46:6 Unabii wa Isaya II, uku. 99
6 Kuna wale wanaomwaga dhahabu kwa wingi kutoka kwenye mikoba yao;Wanapima fedha katika mizani. Wanamwajiri mfua chuma, naye huitengeneza kuwa mungu.+ Kisha wanasujudu, naam, wanaiabudu.*+