Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nusu yake huiteketeza motoni;

      Kwa nusu hiyo huchoma nyama anayokula, naye hushiba.

      Pia huota moto na kusema:

      “Aha! Ninahisi joto ninapotazama moto.”

      17 Lakini sehemu inayobaki anaifanya kuwa mungu, kuwa sanamu yake ya kuchongwa.

      Anaiinamia na kuiabudu.

      Anasali kwake na kusema:

      “Niokoe, kwa maana wewe ni mungu wangu.”+

  • Danieli 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu yenye urefu wa mikono 60* na upana wa mikono 6.* Akaisimamisha kwenye nchi tambarare ya Dura katika mkoa wa* Babiloni.

  • Danieli 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 wakati mtakaposikia sauti ya pembe, zumari, zeze, kinubi cha pembe tatu, kinanda, zumari-tete, na ala nyingine zote za muziki, lazima mwanguke chini na kuabudu sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza amesimamisha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki