Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 37:37, 38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi Mfalme Senakeribu wa Ashuru akaondoka, akarudi Ninawi+ na kukaa huko.+ 38 Na alipokuwa akiinama katika nyumba ya* Nisroki mungu wake, watoto wake mwenyewe wa kiume Adrameleki na Shareza, walimuua kwa upanga+ na kutorokea nchi ya Ararati.+ Na Esar-hadoni+ mwanawe akawa mfalme baada yake.

  • Isaya 45:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kusanyikeni pamoja mje.

      Karibieni pamoja, ninyi mlioponyoka kutoka kwa mataifa.+

      Wale wanaobeba sanamu zilizochongwa hawajui chochote

      Na wanasali kwa mungu ambaye hawezi kuwaokoa.+

  • Isaya 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wanaiinua na kujitwika mabegani;+

      Wanaibeba na kuiweka mahali pake, nayo husimama papo hapo.

      Haiondoki mahali pake.+

      Wanaipazia sauti, lakini haiwajibu;

      Haiwezi kumwokoa yeyote kutoka katika taabu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki