Isaya 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 46:7 ip-2 99 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 46:7 Unabii wa Isaya II, uku. 99
7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+