3 Kisha Waashdodi wakaamka mapema kesho yake, na tazama, Dagoni alikuwa ameanguka kifudifudi mbele ya sanduku la Yehova.+ Basi wakamchukua Dagoni na kumrudisha mahali pake.+
3Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu+ ya dhahabu, ambayo urefu wake ulikuwa mikono 60 na upana wake mikono 6. Akaisimamisha katika nchi tambarare ya Dura katika wilaya ya utawala ya Babiloni.+