Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huu+ na kumpiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu+ juu ya miungu yote ya Misri. Mimi ni Yehova.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani.+

      Lakini Yehova, alizifanya mbingu.+

  • Zaburi 95:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana Yehova ni Mungu mkuu+

      Na Mfalme mkuu juu ya miungu mingine yote,+

  • Zaburi 96:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+

      Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+

  • Zaburi 97:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+

      Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+

      Mwinamieni, enyi miungu yote.+

  • Isaya 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tangazo juu ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu jepesi+ na anakuja kuingia Misri. Na miungu ya Misri isiyo na thamani hakika itatetemeka kwa sababu yake,+ na moyo wa Misri utayeyuka katikati yake.+

  • Sefania 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova atakuwa mwenye kuogopesha juu yao;+ kwa maana ataikondesha miungu yote ya dunia,+ na watu watamwinamia,+ kila mmoja kutoka mahali pake, visiwa vyote vya mataifa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki