Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huu+ na kumpiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu+ juu ya miungu yote ya Misri. Mimi ni Yehova.+

  • Yeremia 43:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitawasha moto katika nyumba za miungu ya Misri;+ naye hakika ataiteketeza na kuipeleka mateka na kujifunga yeye mwenyewe katika nchi ya Misri, kama mchungaji anavyojifunga katika vazi lake,+ na kwa kweli ataondoka huko kwa amani.

  • Yeremia 46:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema, ‘Tazama, ninakaza fikira zangu juu ya Amoni+ kutoka No+ na juu ya Farao na juu ya Misri na juu ya miungu+ yake na juu ya wafalme+ wake, juu ya Farao na juu ya wale wote wanaomtegemea.’+

  • Ezekieli 30:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Nitaangamiza pia sanamu za mavi+ na kufanya miungu isiyo na thamani ikome katika Nofu,+ na hakutakuwa tena na mkuu kutoka katika nchi ya Misri; nami hakika nitatia hofu katika nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki