12 Nami nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huu+ na kumpiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu+ juu ya miungu yote ya Misri. Mimi ni Yehova.+
19Tangazo juu ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu jepesi+ na anakuja kuingia Misri. Na miungu ya Misri isiyo na thamani hakika itatetemeka kwa sababu yake,+ na moyo wa Misri utayeyuka katikati yake.+
25 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema, ‘Tazama, ninakaza fikira zangu juu ya Amoni+ kutoka No+ na juu ya Farao na juu ya Misri na juu ya miungu+ yake na juu ya wafalme+ wake, juu ya Farao na juu ya wale wote wanaomtegemea.’+