Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati wote huo, Wamisri walikuwa wakiwazika wale ambao Yehova alikuwa amewapiga katikati yao, yaani, wazaliwa wote wa kwanza;+ na juu ya miungu yao Yehova alikuwa amefanya hukumu.+

  • Isaya 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tangazo juu ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu jepesi+ na anakuja kuingia Misri. Na miungu ya Misri isiyo na thamani hakika itatetemeka kwa sababu yake,+ na moyo wa Misri utayeyuka katikati yake.+

  • Yeremia 43:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye hakika atavunja vipande-vipande nguzo za Beth-shemeshi, lililo katika nchi ya Misri; na nyumba za miungu ya Misri ataziteketeza kwa moto.”’”

  • Sefania 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova atakuwa mwenye kuogopesha juu yao;+ kwa maana ataikondesha miungu yote ya dunia,+ na watu watamwinamia,+ kila mmoja kutoka mahali pake, visiwa vyote vya mataifa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki