Hesabu 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati huo, Wamisri walikuwa wakiwazika wazaliwa wao wote wa kwanza ambao Yehova aliwaangamiza,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ametekeleza hukumu dhidi ya miungu yao.+
4 Wakati huo, Wamisri walikuwa wakiwazika wazaliwa wao wote wa kwanza ambao Yehova aliwaangamiza,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ametekeleza hukumu dhidi ya miungu yao.+