Zaburi 47:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova, Aliye Juu Zaidi, ni mwenye kuogopesha,+Mfalme mkuu juu ya dunia yote.+ Zaburi 96:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yehova ni mkuu+ na wa kusifiwa sana.Ni mwenye kuogopesha kuliko miungu mingine yote.+ Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+ Tito 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 huku tukilingojea tumaini la furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu+ kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+
13 huku tukilingojea tumaini la furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu+ kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,