Zaburi 145:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+Na ukuu wake hauchunguziki.+ Yeremia 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+ Tito 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 huku tukilingojea tumaini la furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu+ kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,
18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+
13 huku tukilingojea tumaini la furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu+ kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,