13 Kwa hiyo kazeni akili zenu kwa ajili ya utendaji,+ tunzeni akili zenu kwa ukamili;+ kazeni tumaini lenu juu ya fadhili zisizostahiliwa+ zitakazoletwa kwenu wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.
21 ninyi ambao kupitia yeye ni wenye kumwamini Mungu,+ yeye aliyemfufua kutoka kwa wafu+ na kumpa utukufu;+ ili imani na tumaini lenu viwe katika Mungu.+