Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Anafanya mambo makuu yasiyochunguzika,+

      Na mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.+

  • Ayubu 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama! Hizo ndizo kingo za njia zake,+

      Nao ni mnong’ono ulioje wa jambo lililosikiwa juu yake!

      Lakini kuhusu mngurumo wake wenye nguvu ni nani anayeweza kuonyesha uelewaji?”+

  • Ayubu 36:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Tazama! Mungu ameinuliwa sana kuliko tunavyoweza kujua;+

      Hesabu ya miaka yake haichunguziki.+

  • Zaburi 92:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Jinsi zilivyo kuu kazi zako, Ee Yehova!+

      Fikira zako ni zenye kina kikubwa sana.+

  • Zaburi 139:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ujuzi wa namna hiyo ni wa ajabu mno kwangu.+

      Ni wa juu sana hivi kwamba siwezi kuufikia.+

  • Waroma 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki