Ayubu 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Anafanya mambo makuu yasiyochunguzika,+Na mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.+ Ayubu 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Hizo ndizo kingo za njia zake,+Nao ni mnong’ono ulioje wa jambo lililosikiwa juu yake!Lakini kuhusu mngurumo wake wenye nguvu ni nani anayeweza kuonyesha uelewaji?”+ Ayubu 36:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Tazama! Mungu ameinuliwa sana kuliko tunavyoweza kujua;+Hesabu ya miaka yake haichunguziki.+ Zaburi 92:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jinsi zilivyo kuu kazi zako, Ee Yehova!+Fikira zako ni zenye kina kikubwa sana.+ Zaburi 139:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ujuzi wa namna hiyo ni wa ajabu mno kwangu.+Ni wa juu sana hivi kwamba siwezi kuufikia.+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
14 Tazama! Hizo ndizo kingo za njia zake,+Nao ni mnong’ono ulioje wa jambo lililosikiwa juu yake!Lakini kuhusu mngurumo wake wenye nguvu ni nani anayeweza kuonyesha uelewaji?”+
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!