Zaburi 145:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+Na ukuu wake hauchunguziki.+ Zaburi 148:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na walisifu jina la Yehova,+Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+ Ufunuo 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
13 Na walisifu jina la Yehova,+Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+
6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+