27 “Lakini, je, kweli Mungu atakaa duniani?+ Tazama! Mbingu,+ ndiyo, mbingu za mbingu,+ haziwezi kukutosha;+ jinsi gani basi, nyumba hii+ ambayo nimeijenga!
11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+