Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 29:1

Marejeo

  • +1Nya 28:8
  • +1Fa 8:19; 1Nya 28:5
  • +1Fa 3:7; Met 4:3
  • +2Nya 2:4

1 Mambo ya Nyakati 29:2

Marejeo

  • +Mhu 9:10
  • +1Nya 22:3
  • +1Nya 22:16
  • +1Nya 22:14
  • +1Nya 22:4
  • +Kut 28:9

1 Mambo ya Nyakati 29:3

Marejeo

  • +Zb 26:8; 27:4; 122:1
  • +1Nya 21:24; Met 3:9
  • +1Nya 22:5, 16

1 Mambo ya Nyakati 29:4

Marejeo

  • +Ayu 28:16

1 Mambo ya Nyakati 29:5

Marejeo

  • +Kut 35:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1990, uku. 31

1 Mambo ya Nyakati 29:6

Marejeo

  • +1Nya 27:1
  • +1Nya 23:11
  • +1Nya 28:1
  • +Kut 18:25; 1Nya 13:1
  • +Kum 1:15; 1Nya 27:1
  • +1Nya 27:25, 29, 31

1 Mambo ya Nyakati 29:7

Marejeo

  • +2Ko 9:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, kur. 2013, 2114

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/2009, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 8/1 30

1 Mambo ya Nyakati 29:8

Marejeo

  • +1Nya 26:22
  • +1Nya 6:1

1 Mambo ya Nyakati 29:9

Marejeo

  • +2Ko 9:7
  • +Mdo 20:35

1 Mambo ya Nyakati 29:10

Marejeo

  • +2Nya 31:8
  • +1Fa 8:14; 2Nya 6:3
  • +1Fa 8:15
  • +Mwa 32:28; Zb 68:35

1 Mambo ya Nyakati 29:11

Marejeo

  • +Zb 145:3; 1Ti 1:17
  • +Mwa 17:1; Ufu 5:13
  • +1Nya 29:13; Zb 71:8
  • +1Sa 15:29
  • +1Nya 16:27; Zb 8:1
  • +Zb 24:1; 115:15; Isa 42:5; Yer 10:12
  • +Zb 103:19; Mt 6:10
  • +Ne 9:5; Zb 97:9

1 Mambo ya Nyakati 29:12

Marejeo

  • +Kum 8:18; Met 10:22; Flp 4:19
  • +1Fa 3:13; Yoh 17:5
  • +2Nya 20:6
  • +Met 18:10; Isa 40:26
  • +Kum 3:24; Efe 1:19; Ufu 15:3
  • +2Nya 1:12; Zb 75:7
  • +2Nya 16:9; Zb 18:32; 28:8; Isa 40:29; 1Pe 4:11

1 Mambo ya Nyakati 29:13

Marejeo

  • +Zb 105:1
  • +Zb 106:1
  • +Isa 63:14

1 Mambo ya Nyakati 29:14

Marejeo

  • +2Sa 7:18
  • +Zb 115:1; Flp 2:13
  • +Zb 50:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2018, uku. 18

    Mnara wa Mlinzi, 3/1/2009, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 3/1 30

1 Mambo ya Nyakati 29:15

Marejeo

  • +Law 25:23; Ebr 11:13
  • +Ayu 14:2; Yak 4:14

1 Mambo ya Nyakati 29:16

Marejeo

  • +Zb 24:1

1 Mambo ya Nyakati 29:17

Marejeo

  • +1Nya 28:9
  • +Met 11:20; 15:8; Mdo 24:16; Ebr 1:9

1 Mambo ya Nyakati 29:18

Marejeo

  • +Kut 3:6
  • +1Nya 28:9
  • +Zb 10:17; 86:11; 2Th 2:17

1 Mambo ya Nyakati 29:19

Marejeo

  • +1Fa 8:61; 2Fa 20:3; Mk 12:30
  • +1Fa 6:12; 1Nya 28:7
  • +Kum 4:45; 6:17; 1Fa 2:3
  • +Kum 7:11; 12:1
  • +1Nya 29:1
  • +1Nya 22:14

1 Mambo ya Nyakati 29:20

Marejeo

  • +1Nya 28:8
  • +1Nya 16:36; Zb 134:2; 145:1; Efe 1:3
  • +Mwa 24:26; Kut 4:31
  • +2Nya 7:3; Ufu 7:11

1 Mambo ya Nyakati 29:21

Marejeo

  • +2Nya 7:4; Ezr 6:17
  • +Law 1:3; 1Fa 8:64
  • +Law 23:13; Hes 15:5
  • +1Fa 8:63

1 Mambo ya Nyakati 29:22

Marejeo

  • +Kum 12:7; 2Nya 7:10; Ne 8:12
  • +1Nya 23:1
  • +1Fa 1:35
  • +1Fa 2:35

1 Mambo ya Nyakati 29:23

Marejeo

  • +1Nya 28:5
  • +1Nya 22:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 32

    Ufahamu, uku. 132

1 Mambo ya Nyakati 29:24

Marejeo

  • +1Nya 22:17; 28:21
  • +1Nya 28:1
  • +2Sa 3:2; 1Nya 3:5

1 Mambo ya Nyakati 29:25

Marejeo

  • +1Fa 3:12; 2Nya 1:1
  • +2Nya 1:12; Mhu 2:9

1 Mambo ya Nyakati 29:26

Marejeo

  • +1Nya 18:14; Zb 78:71

1 Mambo ya Nyakati 29:27

Marejeo

  • +2Sa 5:4; 1Fa 2:11
  • +2Sa 2:11
  • +2Sa 5:5

1 Mambo ya Nyakati 29:28

Marejeo

  • +1Fa 1:1; Met 16:31
  • +1Nya 29:12
  • +Met 29:23
  • +1Fa 2:1, 10, 12

1 Mambo ya Nyakati 29:29

Marejeo

  • +1Sa 9:9
  • +2Sa 7:2; 12:1
  • +1Nya 21:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2009, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 3/15 32

1 Mambo ya Nyakati 29:30

Marejeo

  • +Da 2:21
  • +1Fa 2:11

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 29:11Nya 28:8
1 Nya. 29:11Fa 8:19; 1Nya 28:5
1 Nya. 29:11Fa 3:7; Met 4:3
1 Nya. 29:12Nya 2:4
1 Nya. 29:2Mhu 9:10
1 Nya. 29:21Nya 22:3
1 Nya. 29:21Nya 22:16
1 Nya. 29:21Nya 22:14
1 Nya. 29:21Nya 22:4
1 Nya. 29:2Kut 28:9
1 Nya. 29:3Zb 26:8; 27:4; 122:1
1 Nya. 29:31Nya 21:24; Met 3:9
1 Nya. 29:31Nya 22:5, 16
1 Nya. 29:4Ayu 28:16
1 Nya. 29:5Kut 35:5
1 Nya. 29:61Nya 27:1
1 Nya. 29:61Nya 23:11
1 Nya. 29:61Nya 28:1
1 Nya. 29:6Kut 18:25; 1Nya 13:1
1 Nya. 29:6Kum 1:15; 1Nya 27:1
1 Nya. 29:61Nya 27:25, 29, 31
1 Nya. 29:72Ko 9:11
1 Nya. 29:81Nya 26:22
1 Nya. 29:81Nya 6:1
1 Nya. 29:92Ko 9:7
1 Nya. 29:9Mdo 20:35
1 Nya. 29:102Nya 31:8
1 Nya. 29:101Fa 8:14; 2Nya 6:3
1 Nya. 29:101Fa 8:15
1 Nya. 29:10Mwa 32:28; Zb 68:35
1 Nya. 29:11Zb 145:3; 1Ti 1:17
1 Nya. 29:11Mwa 17:1; Ufu 5:13
1 Nya. 29:111Nya 29:13; Zb 71:8
1 Nya. 29:111Sa 15:29
1 Nya. 29:111Nya 16:27; Zb 8:1
1 Nya. 29:11Zb 24:1; 115:15; Isa 42:5; Yer 10:12
1 Nya. 29:11Zb 103:19; Mt 6:10
1 Nya. 29:11Ne 9:5; Zb 97:9
1 Nya. 29:12Kum 8:18; Met 10:22; Flp 4:19
1 Nya. 29:121Fa 3:13; Yoh 17:5
1 Nya. 29:122Nya 20:6
1 Nya. 29:12Met 18:10; Isa 40:26
1 Nya. 29:12Kum 3:24; Efe 1:19; Ufu 15:3
1 Nya. 29:122Nya 1:12; Zb 75:7
1 Nya. 29:122Nya 16:9; Zb 18:32; 28:8; Isa 40:29; 1Pe 4:11
1 Nya. 29:13Zb 105:1
1 Nya. 29:13Zb 106:1
1 Nya. 29:13Isa 63:14
1 Nya. 29:142Sa 7:18
1 Nya. 29:14Zb 115:1; Flp 2:13
1 Nya. 29:14Zb 50:12
1 Nya. 29:15Law 25:23; Ebr 11:13
1 Nya. 29:15Ayu 14:2; Yak 4:14
1 Nya. 29:16Zb 24:1
1 Nya. 29:171Nya 28:9
1 Nya. 29:17Met 11:20; 15:8; Mdo 24:16; Ebr 1:9
1 Nya. 29:18Kut 3:6
1 Nya. 29:181Nya 28:9
1 Nya. 29:18Zb 10:17; 86:11; 2Th 2:17
1 Nya. 29:191Fa 8:61; 2Fa 20:3; Mk 12:30
1 Nya. 29:191Fa 6:12; 1Nya 28:7
1 Nya. 29:19Kum 4:45; 6:17; 1Fa 2:3
1 Nya. 29:19Kum 7:11; 12:1
1 Nya. 29:191Nya 29:1
1 Nya. 29:191Nya 22:14
1 Nya. 29:201Nya 28:8
1 Nya. 29:201Nya 16:36; Zb 134:2; 145:1; Efe 1:3
1 Nya. 29:20Mwa 24:26; Kut 4:31
1 Nya. 29:202Nya 7:3; Ufu 7:11
1 Nya. 29:212Nya 7:4; Ezr 6:17
1 Nya. 29:21Law 1:3; 1Fa 8:64
1 Nya. 29:21Law 23:13; Hes 15:5
1 Nya. 29:211Fa 8:63
1 Nya. 29:22Kum 12:7; 2Nya 7:10; Ne 8:12
1 Nya. 29:221Nya 23:1
1 Nya. 29:221Fa 1:35
1 Nya. 29:221Fa 2:35
1 Nya. 29:231Nya 28:5
1 Nya. 29:231Nya 22:11
1 Nya. 29:241Nya 22:17; 28:21
1 Nya. 29:241Nya 28:1
1 Nya. 29:242Sa 3:2; 1Nya 3:5
1 Nya. 29:251Fa 3:12; 2Nya 1:1
1 Nya. 29:252Nya 1:12; Mhu 2:9
1 Nya. 29:261Nya 18:14; Zb 78:71
1 Nya. 29:272Sa 5:4; 1Fa 2:11
1 Nya. 29:272Sa 2:11
1 Nya. 29:272Sa 5:5
1 Nya. 29:281Fa 1:1; Met 16:31
1 Nya. 29:281Nya 29:12
1 Nya. 29:28Met 29:23
1 Nya. 29:281Fa 2:1, 10, 12
1 Nya. 29:291Sa 9:9
1 Nya. 29:292Sa 7:2; 12:1
1 Nya. 29:291Nya 21:9
1 Nya. 29:30Da 2:21
1 Nya. 29:301Fa 2:11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 29:1-30

1 Mambo ya Nyakati

29 Basi Daudi mfalme akaliambia kutaniko lote:+ “Sulemani mwanangu, ambaye Mungu amemchagua,+ ni mchanga+ na mwororo, lakini kazi ni kubwa; kwa kuwa jumba hilo la kifalme si la mwanadamu,+ bali ni la Yehova Mungu. 2 Nami kulingana na nguvu zangu zote,+ nimetayarisha+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu dhahabu+ kwa ajili ya kazi ya dhahabu, na fedha kwa ajili ya kazi ya fedha, na shaba kwa ajili ya kazi ya shaba, chuma+ kwa ajili ya kazi ya chuma, na mbao+ kwa ajili ya kazi ya mbao; mawe ya shohamu,+ na mawe ya kupangwa kwa saruji ngumu, na mawe maridadi ya mviringo, na kila jiwe la thamani, na mawe ya alabasta kwa wingi sana. 3 Na kwa kuwa ninapendezwa+ na nyumba ya Mungu wangu, bado kuna mali yangu ya pekee,+ dhahabu na fedha; naitoa kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu, kuongezea vyote ambavyo nimetayarisha kwa ajili ya hiyo nyumba takatifu:+ 4 talanta elfu tatu za dhahabu, za dhahabu ya Ofiri,+ na talanta elfu saba za fedha iliyosafishwa, kwa ajili ya kufunika kuta za hizo nyumba; 5 za dhahabu kwa ajili ya kazi ya dhahabu, na za fedha kwa ajili ya kazi ya fedha na kwa ajili ya kazi yote ya kufanywa kwa mkono wa mafundi. Na ni nani anayejitolea kuujaza mkono wake leo kwa zawadi kwa ajili ya Yehova?”+

6 Na wakuu+ wa nyumba za ukoo wa baba+ na wakuu+ wa makabila ya Israeli na wakuu wa maelfu+ na wa mamia+ na wakuu wa shughuli+ za mfalme wakajitolea. 7 Basi wakatoa kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli dhahabu yenye thamani ya talanta elfu tano na dariki elfu kumi na fedha yenye thamani ya talanta elfu kumi na shaba yenye thamani ya talanta kumi na nane elfu na chuma yenye thamani ya talanta mia moja elfu.+ 8 Na watu wowote waliokuwa na mawe yoyote wakayatoa kwa ajili ya hazina ya nyumba ya Yehova chini ya amri ya Yehieli+ Mgershoni.+ 9 Na watu wakashangilia kutokana na matoleo yao ya hiari waliyotoa, kwa maana walimtolea Yehova matoleo ya hiari kwa moyo kamili;+ na hata Daudi mfalme akashangilia kwa shangwe kubwa.+

10 Basi Daudi akambariki+ Yehova mbele ya macho ya kutaniko+ lote na Daudi akasema: “Na ubarikiwe,+ Ee Yehova, Mungu wa Israeli+ baba yetu, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo. 11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+ 12 Utajiri+ na utukufu+ hutokana na wewe, nawe unatawala+ kila kitu; na mkononi mwako mna nguvu+ na uwezo,+ na mkononi mwako mna uwezo wa kufanya kuwa na ukuu+ na kuwapa wote nguvu.+ 13 Na sasa, Ee Mungu wetu, tunakushukuru+ na kulisifu+ jina lako zuri.+

14 “Ingawa hivyo, mimi ni nani,+ na watu wangu ni nani, hata tuwe na nguvu za kutoa matoleo ya hiari hivi?+ Kwa maana kila kitu hutoka kwako,+ nasi tumekupa kutoka katika mkono wako mwenyewe. 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini. 16 Ee Yehova, Mungu wetu, wingi huu wote ambao tumetayarisha ili kukujengea nyumba kwa ajili ya jina lako takatifu, umetoka mkononi mwako, nao wote ni mali yako.+ 17 Nami ninajua vema, Ee Mungu wangu, kwamba wewe ni mchunguzaji wa moyo,+ nawe unafurahia unyoofu.+ Nami katika unyoofu wa moyo wangu, nimetoa kwa hiari vitu hivi vyote, na sasa watu wako waliopo hapa nimefurahi kuona wakikutolea matoleo kwa hiari. 18 Ee Yehova, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Israeli mababu zetu,+ shika hili mpaka wakati usio na kipimo kama mwelekeo wa fikira za moyo wa watu wako,+ na uelekeze moyo wao kwako.+ 19 Na Sulemani mwanangu umpe moyo kamili+ ili ashike amri+ zako, shuhuda+ zako na masharti+ yako, afanye kila jambo, na kulijenga jumba+ hili la kifalme ambalo nimelifanyia matayarisho.”+

20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme. 21 Nao wakaendelea kutoa dhabihu+ kwa Yehova na kutoa matoleo ya kuteketezwa+ kwa Yehova siku ya pili yake, ng’ombe-dume wachanga elfu moja, kondoo-dume elfu moja, wana-kondoo dume elfu moja na matoleo yao ya kinywaji,+ dhabihu nyingi sana kwa ajili ya Israeli wote.+ 22 Nao wakaendelea kula na kunywa mbele za Yehova siku hiyo kwa shangwe kubwa;+ nao kwa mara ya pili wakamfanya Sulemani mwana wa Daudi kuwa mfalme,+ wakamtia mafuta kwa Yehova awe kiongozi+ na pia Sadoki+ awe kuhani. 23 Na Sulemani akaanza kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme mahali pa Daudi baba yake, akafanikiwa,+ na Israeli wote walikuwa wakimtii. 24 Nao wakuu+ wote na wanaume wenye nguvu+ na pia wana wote wa Mfalme Daudi,+ wakajitiisha kwa Sulemani mfalme. 25 Na Yehova akaendelea kumfanya Sulemani kuwa mkuu zaidi+ mbele ya macho ya Israeli wote na kuweka juu yake heshima ya kifalme ambayo haikuwa imepata kuwa juu ya mfalme yeyote kabla yake juu ya Israeli.+

26 Naye Daudi mwana wa Yese, akatawala juu ya Israeli yote;+ 27 na siku alizotawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+ 28 Mwishowe akafa mwenye umri mwema wa uzeeni,+ ameshiba siku, utajiri+ na utukufu;+ na Sulemani mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+ 29 Na mambo ya Daudi mfalme, ya kwanza na ya mwisho, yameandikwa katika maneno ya Samweli mwonaji+ na katika maneno ya nabii Nathani+ na katika maneno ya Gadi+ mwonaji, 30 pamoja na ufalme wake wote na nguvu zake na nyakati+ ambazo zilikuwa zimepita juu yake na juu ya Israeli na juu ya falme zote za nchi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki