2 Mambo ya Nyakati 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye akasema:+ “Ee Yehova Mungu wa mababu zetu,+ je, wewe si Mungu mbinguni,+ na je, wewe hutawali juu ya falme zote za mataifa,+ na je, mkononi mwako hamna nguvu na uwezo, wala hakuna anayeweza kusimama imara kupingana nawe?+
6 naye akasema:+ “Ee Yehova Mungu wa mababu zetu,+ je, wewe si Mungu mbinguni,+ na je, wewe hutawali juu ya falme zote za mataifa,+ na je, mkononi mwako hamna nguvu na uwezo, wala hakuna anayeweza kusimama imara kupingana nawe?+