Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 20:1

Marejeo

  • +Mwa 19:37; Amu 3:14; 2Sa 8:2; Zb 83:6
  • +Mwa 19:38
  • +2Nya 20:10
  • +2Nya 19:2

2 Mambo ya Nyakati 20:2

Marejeo

  • +Mwa 36:8; Yos 15:1
  • +Yos 15:62; 2Nya 20:16, 20

2 Mambo ya Nyakati 20:3

Marejeo

  • +Mwa 32:7
  • +2Nya 19:3
  • +Amu 20:26; Yoe 1:14; 2:12

2 Mambo ya Nyakati 20:4

Marejeo

  • +Kum 4:29; Zb 34:4
  • +2Sa 21:1

2 Mambo ya Nyakati 20:5

Marejeo

  • +2Nya 6:12; 7:15
  • +1Fa 6:36; 2Nya 4:9

2 Mambo ya Nyakati 20:6

Marejeo

  • +Flp 4:6
  • +Kut 3:6
  • +Kum 4:39; Yos 2:11; 1Fa 8:23; Mt 6:9
  • +1Nya 29:11; Da 4:17
  • +1Nya 29:12; Zb 62:11; Isa 14:27; 40:15; Da 4:35

2 Mambo ya Nyakati 20:7

Marejeo

  • +Mwa 17:7; Kut 6:7
  • +Zb 44:2
  • +Mwa 12:7; Ne 9:8
  • +Isa 41:8; Yak 2:23

2 Mambo ya Nyakati 20:8

Marejeo

  • +2Nya 2:4; 6:10

2 Mambo ya Nyakati 20:9

Marejeo

  • +1Fa 8:33
  • +1Fa 8:37
  • +2Nya 6:28
  • +2Nya 6:29
  • +2Nya 6:20
  • +1Fa 8:34

2 Mambo ya Nyakati 20:10

Marejeo

  • +2Sa 8:12
  • +2Nya 20:1
  • +Mwa 36:8; Hes 20:18
  • +Hes 20:17, 21; Kum 2:5, 9, 19; Amu 11:15

2 Mambo ya Nyakati 20:11

Marejeo

  • +Zb 7:4; 35:12
  • +Amu 11:23; Zb 83:4

2 Mambo ya Nyakati 20:12

Marejeo

  • +Amu 11:27; 1Sa 3:13; Zb 7:6
  • +2Nya 14:11
  • +2Fa 6:15; Yer 10:23
  • +Zb 25:15; 62:1

2 Mambo ya Nyakati 20:13

Marejeo

  • +Ezr 10:1
  • +Kum 29:11

2 Mambo ya Nyakati 20:14

Marejeo

  • +1Nya 15:19; 25:1; 2Nya 35:15
  • +Hes 11:25; 2Nya 15:1; 24:20; 2Pe 1:21

2 Mambo ya Nyakati 20:15

Marejeo

  • +Kum 1:29; Yos 11:6; 2Nya 32:7
  • +2Nya 32:8

2 Mambo ya Nyakati 20:17

Marejeo

  • +Kut 14:14, 25
  • +Isa 30:15; Omb 3:26
  • +Kut 14:13; 15:2; 1Sa 2:1; 11:13; 1Nya 16:23
  • +Kum 31:8; Yos 10:25
  • +Hes 14:9; 2Nya 15:2; Zb 46:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Masomo ya Biblia, kur. 120-121

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 21

    6/1/2003, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 21; w03 6/1 21-22

2 Mambo ya Nyakati 20:18

Marejeo

  • +Mwa 24:26; Kut 4:31
  • +Ayu 1:20; Zb 95:6

2 Mambo ya Nyakati 20:19

Marejeo

  • +1Nya 15:16
  • +1Nya 23:12
  • +Zb 44:utangulizi; 49:utangulizi
  • +2Nya 5:13; Zb 60:6; 81:1

2 Mambo ya Nyakati 20:20

Marejeo

  • +2Nya 20:16
  • +2Sa 14:2; 1Nya 4:5; 2Nya 11:6; Yer 6:1
  • +2Nya 20:15
  • +Kut 19:9; Isa 7:9; Ebr 11:6
  • +Kut 14:31; 2Nya 36:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1998, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 5/1 20

2 Mambo ya Nyakati 20:21

Marejeo

  • +1Nya 13:1; Met 11:14
  • +1Nya 15:16; 2Nya 5:12; 9:11
  • +2Nya 29:25; Ezr 3:10; Ne 12:27
  • +1Nya 16:29; Zb 29:2; 96:9
  • +Yos 6:9
  • +Zb 106:1
  • +Kut 34:6; Omb 3:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1998, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 5/1 20

2 Mambo ya Nyakati 20:22

Marejeo

  • +Amu 7:22; 1Sa 14:20
  • +Isa 19:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1998, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 5/1 20

2 Mambo ya Nyakati 20:23

Marejeo

  • +Mwa 14:6; Kum 2:5
  • +Eze 38:21

2 Mambo ya Nyakati 20:24

Marejeo

  • +2Nya 20:16
  • +Kut 14:30; 1Nya 5:22; Zb 110:6; Isa 37:36

2 Mambo ya Nyakati 20:25

Marejeo

  • +Zb 68:12
  • +Kut 12:35; 2Fa 7:15; Met 13:22

2 Mambo ya Nyakati 20:26

Marejeo

  • +Kut 15:2; 2Sa 22:2; Zb 103:1
  • +Kut 17:15; 1Sa 7:12

2 Mambo ya Nyakati 20:27

Marejeo

  • +1Sa 2:1; Ne 12:43; Zb 20:5; 30:1

2 Mambo ya Nyakati 20:28

Marejeo

  • +2Sa 6:5; 1Fa 10:12
  • +1Nya 13:8; 16:5
  • +Hes 10:8; 1Nya 15:24; 2Nya 29:26
  • +Zb 116:19

2 Mambo ya Nyakati 20:29

Marejeo

  • +Mwa 35:5; 2Nya 14:14; 17:10
  • +Kut 15:14; Kum 33:26; Yos 9:9

2 Mambo ya Nyakati 20:30

Marejeo

  • +Yos 23:1; 2Sa 7:1; 2Nya 15:15; Met 16:7

2 Mambo ya Nyakati 20:31

Marejeo

  • +1Fa 22:41
  • +1Fa 22:42

2 Mambo ya Nyakati 20:32

Marejeo

  • +1Fa 15:11
  • +2Nya 17:3; Zb 18:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, uku. 20

2 Mambo ya Nyakati 20:33

Marejeo

  • +1Fa 15:14; 22:43; 2Nya 17:6
  • +1Fa 18:21; 2Nya 12:14; 19:3

2 Mambo ya Nyakati 20:34

Marejeo

  • +1Fa 16:1; 2Nya 19:2
  • +2Nya 16:7
  • +2Nya 16:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2009, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 3/15 32

2 Mambo ya Nyakati 20:35

Marejeo

  • +1Fa 22:49; 1Ko 15:33
  • +2Fa 1:2, 16; 2Nya 19:2

2 Mambo ya Nyakati 20:36

Marejeo

  • +1Fa 10:22; 22:48
  • +Hes 33:35; Kum 2:8; 1Fa 9:26

2 Mambo ya Nyakati 20:37

Marejeo

  • +Met 13:20
  • +Zb 127:1
  • +1Fa 22:48
  • +2Nya 9:21

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 20:1Mwa 19:37; Amu 3:14; 2Sa 8:2; Zb 83:6
2 Nya. 20:1Mwa 19:38
2 Nya. 20:12Nya 20:10
2 Nya. 20:12Nya 19:2
2 Nya. 20:2Mwa 36:8; Yos 15:1
2 Nya. 20:2Yos 15:62; 2Nya 20:16, 20
2 Nya. 20:3Mwa 32:7
2 Nya. 20:32Nya 19:3
2 Nya. 20:3Amu 20:26; Yoe 1:14; 2:12
2 Nya. 20:4Kum 4:29; Zb 34:4
2 Nya. 20:42Sa 21:1
2 Nya. 20:52Nya 6:12; 7:15
2 Nya. 20:51Fa 6:36; 2Nya 4:9
2 Nya. 20:6Flp 4:6
2 Nya. 20:6Kut 3:6
2 Nya. 20:6Kum 4:39; Yos 2:11; 1Fa 8:23; Mt 6:9
2 Nya. 20:61Nya 29:11; Da 4:17
2 Nya. 20:61Nya 29:12; Zb 62:11; Isa 14:27; 40:15; Da 4:35
2 Nya. 20:7Mwa 17:7; Kut 6:7
2 Nya. 20:7Zb 44:2
2 Nya. 20:7Mwa 12:7; Ne 9:8
2 Nya. 20:7Isa 41:8; Yak 2:23
2 Nya. 20:82Nya 2:4; 6:10
2 Nya. 20:91Fa 8:33
2 Nya. 20:91Fa 8:37
2 Nya. 20:92Nya 6:28
2 Nya. 20:92Nya 6:29
2 Nya. 20:92Nya 6:20
2 Nya. 20:91Fa 8:34
2 Nya. 20:102Sa 8:12
2 Nya. 20:102Nya 20:1
2 Nya. 20:10Mwa 36:8; Hes 20:18
2 Nya. 20:10Hes 20:17, 21; Kum 2:5, 9, 19; Amu 11:15
2 Nya. 20:11Zb 7:4; 35:12
2 Nya. 20:11Amu 11:23; Zb 83:4
2 Nya. 20:12Amu 11:27; 1Sa 3:13; Zb 7:6
2 Nya. 20:122Nya 14:11
2 Nya. 20:122Fa 6:15; Yer 10:23
2 Nya. 20:12Zb 25:15; 62:1
2 Nya. 20:13Ezr 10:1
2 Nya. 20:13Kum 29:11
2 Nya. 20:141Nya 15:19; 25:1; 2Nya 35:15
2 Nya. 20:14Hes 11:25; 2Nya 15:1; 24:20; 2Pe 1:21
2 Nya. 20:15Kum 1:29; Yos 11:6; 2Nya 32:7
2 Nya. 20:152Nya 32:8
2 Nya. 20:17Kut 14:14, 25
2 Nya. 20:17Isa 30:15; Omb 3:26
2 Nya. 20:17Kut 14:13; 15:2; 1Sa 2:1; 11:13; 1Nya 16:23
2 Nya. 20:17Kum 31:8; Yos 10:25
2 Nya. 20:17Hes 14:9; 2Nya 15:2; Zb 46:7
2 Nya. 20:18Mwa 24:26; Kut 4:31
2 Nya. 20:18Ayu 1:20; Zb 95:6
2 Nya. 20:191Nya 15:16
2 Nya. 20:191Nya 23:12
2 Nya. 20:19Zb 44:utangulizi; 49:utangulizi
2 Nya. 20:192Nya 5:13; Zb 60:6; 81:1
2 Nya. 20:202Nya 20:16
2 Nya. 20:202Sa 14:2; 1Nya 4:5; 2Nya 11:6; Yer 6:1
2 Nya. 20:202Nya 20:15
2 Nya. 20:20Kut 19:9; Isa 7:9; Ebr 11:6
2 Nya. 20:20Kut 14:31; 2Nya 36:16
2 Nya. 20:211Nya 13:1; Met 11:14
2 Nya. 20:211Nya 15:16; 2Nya 5:12; 9:11
2 Nya. 20:212Nya 29:25; Ezr 3:10; Ne 12:27
2 Nya. 20:211Nya 16:29; Zb 29:2; 96:9
2 Nya. 20:21Yos 6:9
2 Nya. 20:21Zb 106:1
2 Nya. 20:21Kut 34:6; Omb 3:22
2 Nya. 20:22Amu 7:22; 1Sa 14:20
2 Nya. 20:22Isa 19:2
2 Nya. 20:23Mwa 14:6; Kum 2:5
2 Nya. 20:23Eze 38:21
2 Nya. 20:242Nya 20:16
2 Nya. 20:24Kut 14:30; 1Nya 5:22; Zb 110:6; Isa 37:36
2 Nya. 20:25Zb 68:12
2 Nya. 20:25Kut 12:35; 2Fa 7:15; Met 13:22
2 Nya. 20:26Kut 15:2; 2Sa 22:2; Zb 103:1
2 Nya. 20:26Kut 17:15; 1Sa 7:12
2 Nya. 20:271Sa 2:1; Ne 12:43; Zb 20:5; 30:1
2 Nya. 20:282Sa 6:5; 1Fa 10:12
2 Nya. 20:281Nya 13:8; 16:5
2 Nya. 20:28Hes 10:8; 1Nya 15:24; 2Nya 29:26
2 Nya. 20:28Zb 116:19
2 Nya. 20:29Mwa 35:5; 2Nya 14:14; 17:10
2 Nya. 20:29Kut 15:14; Kum 33:26; Yos 9:9
2 Nya. 20:30Yos 23:1; 2Sa 7:1; 2Nya 15:15; Met 16:7
2 Nya. 20:311Fa 22:41
2 Nya. 20:311Fa 22:42
2 Nya. 20:321Fa 15:11
2 Nya. 20:322Nya 17:3; Zb 18:21
2 Nya. 20:331Fa 15:14; 22:43; 2Nya 17:6
2 Nya. 20:331Fa 18:21; 2Nya 12:14; 19:3
2 Nya. 20:341Fa 16:1; 2Nya 19:2
2 Nya. 20:342Nya 16:7
2 Nya. 20:342Nya 16:11
2 Nya. 20:351Fa 22:49; 1Ko 15:33
2 Nya. 20:352Fa 1:2, 16; 2Nya 19:2
2 Nya. 20:361Fa 10:22; 22:48
2 Nya. 20:36Hes 33:35; Kum 2:8; 1Fa 9:26
2 Nya. 20:37Met 13:20
2 Nya. 20:37Zb 127:1
2 Nya. 20:371Fa 22:48
2 Nya. 20:372Nya 9:21
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 20:1-37

2 Mambo ya Nyakati

20 Na ikawa kwamba baadaye wana wa Moabu+ na wana wa Amoni+ na pamoja nao baadhi ya Waamonimu+ wakaja kupigana vita na Yehoshafati.+ 2 Basi watu wakaja na kumwambia Yehoshafati, wakisema: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari, kutoka Edomu;+ na, tazama, wako huko Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+ 3 Ndipo Yehoshafati akaogopa,+ akauelekeza uso wake kumtafuta Yehova.+ Kwa hiyo akatangaza mfungo+ kwa ajili ya Yuda yote. 4 Mwishowe watu wa Yuda wakakusanyika pamoja ili kuuliza habari kutoka kwa Yehova.+ Wakaja kutoka katika majiji yote ya Yuda ili kutafuta shauri kwa Yehova.+

5 Ndipo Yehoshafati akasimama katika kutaniko la Yuda na la Yerusalemu ndani ya nyumba ya Yehova+ mbele ya ule ua mpya,+ 6 naye akasema:+

“Ee Yehova Mungu wa mababu zetu,+ je, wewe si Mungu mbinguni,+ na je, wewe hutawali juu ya falme zote za mataifa,+ na je, mkononi mwako hamna nguvu na uwezo, wala hakuna anayeweza kusimama imara kupingana nawe?+ 7 Je, wewe mwenyewe, Ee Mungu wetu,+ hukuwafukuza wakaaji wa nchi hii kutoka mbele ya watu wako Israeli,+ kisha ukaikabidhi+ kwa uzao wa Abrahamu, mpendwa wako,+ mpaka wakati usio na kipimo? 8 Nao wakaanza kukaa ndani yake, nao wakakujengea patakatifu ndani yake kwa ajili ya jina lako,+ wakisema, 9 ‘Tukipatwa na msiba,+ upanga, hukumu mbaya, au tauni+ au njaa,+ acheni tusimame mbele ya nyumba hii+ na mbele zako (kwa maana jina lako+ limo katika nyumba hii), ili tukuombe msaada ili kutuondoa katika taabu yetu, nawe usikie na kuokoa.’+ 10 Na sasa, tazama, wana wa Amoni,+ na Moabu+ na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuruhusu Israeli wawavamie walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri, bali waligeukia mbali kutoka kwao wala hawakuwaangamiza,+ 11 ndiyo, tazama, wanatupa sisi thawabu+ ya kuja kutufukuza tuondoke katika miliki yako ambayo ulitufanya tuimiliki.+ 12 Ee Mungu wetu, je, hutafanya hukumu juu yao?+ Kwa maana hakuna nguvu ndani yetu mbele ya umati huu mkubwa unaokuja juu yetu;+ nasi wenyewe hatujui tunalopaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakuelekea wewe.”+

13 Na wakati huo wote watu wote wa Yuda walikuwa wamesimama mbele za Yehova,+ hata watoto wao,+ wake zao na wana wao.

14 Sasa kwa habari ya Yahazieli mwana wa Zekaria mwana wa Benaya mwana wa Yeieli mwana wa Matania, Mlawi, wa wana wa Asafu,+ roho+ ya Yehova ikaja juu yake katikati ya kutaniko. 15 Basi akasema: “Sikilizeni kwa makini, Yuda wote nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Tazama, Yehova amewaambia ninyi hivi, ‘Msiogope+ wala msiwe na hofu kwa sababu ya umati huu mkubwa; kwa maana vita si vyenu bali ni vya Mungu.+ 16 Washukieni kesho. Tazama, wanapanda kuja kwa njia nyembamba ya Sisi; nanyi hakika mtawakuta mwishoni mwa bonde la mto mbele ya nyika ya Yerueli. 17 Hamtahitaji kupigana+ katika kisa hiki. Simameni mahali penu, simameni tuli,+ mkauone wokovu+ wa Yehova kwa ajili yenu. Ee Yuda na Yerusalemu, msiogope wala msiwe na hofu.+ Kesho waendeeni, na Yehova atakuwa pamoja nanyi.’”+

18 Ndipo mara moja Yehoshafati akainama kifudifudi,+ na Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka mbele za Yehova ili kumsujudia Yehova.+ 19 Kisha Walawi+ wa wana wa Wakohathi+ na wa wana wa Wakora+ wakasimama ili kumsifu Yehova Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa isivyo kawaida.+

20 Nao wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda katika nyika+ ya Tekoa.+ Na walipokuwa wakienda, Yehoshafati akasimama na kusema: “Nisikieni, enyi Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu!+ Iweni na imani+ katika Yehova Mungu wenu, ili mdumu muda mrefu. Iweni na imani katika manabii wake,+ hivyo mfanikiwe.”

21 Tena akafanya shauri+ na watu na kuweka waimbaji+ kwa ajili ya Yehova na wale wanaotoa sifa+ katika pambo takatifu+ wakienda mbele ya wale watu wenye silaha,+ na kusema: “Mpeni Yehova sifa,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+

22 Na wakati walipoanza kupaaza vigelegele vya shangwe na sifa, Yehova akaweka watu wa kuvizia+ juu ya wana wa Amoni, Moabu na eneo lenye milima la Seiri waliokuwa wakija Yuda, nao wakaanza kupigana wenyewe.+ 23 Na wana wa Amoni na Moabu wakasimama kushambulia wakaaji wa eneo lenye milima la Seiri+ ili kuwaangamiza na kuwaharibu; na mara tu walipowamaliza wakaaji wa Seiri, wakasaidiana kuangamizana wao kwa wao.+

24 Lakini Yuda wakaja kwenye mnara wa mlinzi wa nyika.+ Walipogeuza nyuso zao kuelekea ule umati, tazama, pale, mizoga yao ikiwa imeanguka chini+ bila yeyote kuponyoka. 25 Basi Yehoshafati na watu wake wakaja kupora nyara+ walizokuwa nazo, na katika nyara hizo wakakuta kwa wingi mali na mavazi na vyombo vyenye kutamanika; nao wakaendelea kuwavua mpaka waliposhindwa kuchukua zaidi.+ Nao wakapora nyara kwa siku tatu, kwa maana zilikuwa nyingi. 26 Na katika siku ya nne wakakutana pamoja kwenye nchi tambarare ya chini ya Baraka, kwa maana walimbariki Yehova hapo.+ Ndiyo sababu walipaita mahali hapo jina+ Nchi Tambarare ya Chini ya Baraka—mpaka leo hii.

27 Ndipo watu wote wa Yuda na Yerusalemu wakarudi, Yehoshafati akiwa mbele yao, ili warudi Yerusalemu kwa kushangilia, kwa kuwa Yehova alikuwa amewafanya washangilie juu ya adui zao.+ 28 Basi wakaja Yerusalemu wakiwa na vinanda+ na vinubi+ na tarumbeta,+ kwenye nyumba ya Yehova.+ 29 Na hofu+ ya Mungu ikawa juu ya falme zote za nchi waliposikia kwamba Yehova amepiga vita juu ya adui za Israeli.+ 30 Kwa hiyo ufalme wa Yehoshafati haukuwa na usumbufu wowote, na Mungu wake akaendelea kumpa pumziko kuzunguka pande zote.+

31 Na Yehoshafati+ akaendelea kutawala juu ya Yuda. Alipoanza kutawala alikuwa na umri wa miaka 35, naye akatawala miaka 25 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Azuba+ binti ya Shilhi. 32 Naye akaendelea kutembea katika njia ya Asa+ baba yake, naye hakugeuka kando kutoka katika njia hiyo, kwa kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova.+ 33 Ila tu mahali pa juu+ hapakuondolewa; na watu walikuwa bado hawajatayarisha moyo wao kwa ajili ya Mungu wa mababu zao.+

34 Na mambo mengine ya Yehoshafati, ya kwanza na ya mwisho, tazama, yameandikwa kati ya maneno ya Yehu+ mwana wa Hanani,+ yaliyoingizwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Israeli. 35 Na baada ya hayo Yehoshafati mfalme wa Yuda akawa na ushirika na Ahazia+ mfalme wa Israeli, aliyetenda kwa uovu.+ 36 Kwa hiyo akamfanya kuwa mshirika pamoja naye katika ujenzi wa meli za kwenda Tarshishi+ nao wakajenga meli kule Esion-geberi.+ 37 Hata hivyo, Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii juu ya Yehoshafati, akisema: “Kwa sababu umefanya ushirika na Ahazia,+ hakika Yehova atazivunja kazi zako.”+ Basi zile meli zikavunjwa,+ nazo hazikuwa na nguvu za kwenda Tarshishi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki