2 Mambo ya Nyakati 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Yehoshafati akaambiwa hivi: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari,* kutoka Edomu,+ wamefika Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+
2 Basi Yehoshafati akaambiwa hivi: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari,* kutoka Edomu,+ wamefika Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+