2 Mambo ya Nyakati 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye akaanza kusimama mbele ya madhabahu ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli,+ naye sasa akainyoosha mikono yake.+ 2 Mambo ya Nyakati 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sasa macho+ yangu yatakuwa wazi na masikio+ yangu yatasikiliza sala katika mahali hapa.
12 Naye akaanza kusimama mbele ya madhabahu ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli,+ naye sasa akainyoosha mikono yake.+