Kutoka 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Sasa Musa akaondoka jijini kutoka kwa Farao, akamnyooshea Yehova mikono yake, nayo mingurumo na mvua ya mawe zikaanza kukoma na mvua haikunyesha juu ya dunia.+ Zaburi 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+ 1 Timotheo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo natamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kutoa sala, wakiinua mikono+ yenye ushikamanifu, bila ghadhabu+ na mabishano.+
33 Sasa Musa akaondoka jijini kutoka kwa Farao, akamnyooshea Yehova mikono yake, nayo mingurumo na mvua ya mawe zikaanza kukoma na mvua haikunyesha juu ya dunia.+
2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+
8 Kwa hiyo natamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kutoa sala, wakiinua mikono+ yenye ushikamanifu, bila ghadhabu+ na mabishano.+