Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo 2:1

Marejeo

  • +Ro 12:12
  • +Gal 3:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1996, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 5/1 20

1 Timotheo 2:2

Marejeo

  • +Mdo 26:27
  • +Mt 5:44; 1Pe 2:14
  • +Yer 29:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2020, uku. 15

    Ufahamu, uku. 669

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1996, uku. 20

    9/15/1993, uku. 15

    11/1/1990, kur. 11-12

    Huduma ya Ufalme,

    11/1990, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 5/1 20

1 Timotheo 2:3

Marejeo

  • +Ro 12:2
  • +Yud 25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, uku. 416

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 416

1 Timotheo 2:4

Marejeo

  • +Ro 5:18; 9:24; 1Ti 4:10
  • +Isa 45:22; Mdo 17:30; 1Ko 12:13
  • +Efe 1:17; Flp 1:9
  • +2Ti 2:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 169

    Furahia Maisha Milele!, somo la 47

    Ufahamu,

    Kutoa Sababu, uku. 416

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 416

1 Timotheo 2:5

Marejeo

  • +Kum 6:4; Ro 3:30; 1Ko 8:4
  • +Ebr 8:6; 9:15; 12:24
  • +Gal 3:20
  • +1Ko 11:25; Gal 3:29; Efe 5:27; Ebr 2:16
  • +Mdo 4:12; Ro 5:15; Kol 2:13; 2Ti 1:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 27

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2008, kur. 13-14

    2/15/1991, uku. 17

    12/15/1989, uku. 30

    8/15/1989, kur. 30-31

    2/15/1986, kur. 14-15

    Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 13-14

1 Timotheo 2:6

Marejeo

  • +Mt 20:28; Mk 10:45; Kol 1:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 104

    Mkaribie Yehova, kur. 142-143

    Furahia Maisha Milele!, somo la 27

    Ufahamu,

    Ufahamu, uku. 735

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2011, uku. 13

    4/15/1999, uku. 12

    7/15/1997, kur. 6-7

    6/15/1992, kur. 5-6

    2/15/1991, kur. 12-13, 17

    8/15/1989, uku. 30

    2/15/1986, kur. 14-15

    Utatu, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 13; cl 142-143; w99 4/15 12; w97 7/15 6-7

1 Timotheo 2:7

Marejeo

  • +Mdo 9:15
  • +Ro 1:5; Gal 2:8
  • +Ro 9:1
  • +Gal 1:16
  • +Ro 3:22; Gal 5:6

1 Timotheo 2:8

Marejeo

  • +Zb 141:2
  • +Gal 5:20; Yak 1:20
  • +Flp 2:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 109

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2002, uku. 19

    11/15/1992, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 11/15 19

1 Timotheo 2:9

Marejeo

  • +Yak 3:17
  • +1Pe 3:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2023, uku. 20

    Furahia Maisha Milele!, somo la 52

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 65-66

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    5/2016, kur. 16-17

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2015, uku. 9

    2/15/2009, kur. 20-21

    5/1/2005, uku. 29

    12/1/2003, uku. 22

    8/1/2002, kur. 17-18

    8/15/1992, uku. 14

    6/1/1991, uku. 30

    8/15/1988, kur. 17-18

    3/15/1987, uku. 6

    “Upendo wa Mungu,” kur. 56-57

    Mapenzi ya Yehova, somo la 8

    Vijana Huuliza, Buku la 1, uku. 79

    Amkeni!,

    10/8/2005, uku. 27

    8/8/1998, uku. 21

    3/8/1995, kur. 21-24

    10/8/1991, uku. 13

    Shule ya Huduma, kur. 131-132

    Huduma ya Ufalme,

    10/1996, uku. 9

    Kutoa Sababu, uku. 404

  • Fahirishi ya Machapisho

    yp1 79; w09 2/15 20-21; lv 56-57; w05 5/1 29; g05 10/8 27; rs 404; w03 12/1 22; w02 8/1 17-18; be 131-132; g98 8/8 21; km 10/96 8

1 Timotheo 2:10

Marejeo

  • +Met 31:30; 1Pe 3:4
  • +Mdo 21:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 52

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    5/2016, kur. 16-17

    Mapenzi ya Yehova, somo la 8

    The Watchtower,

    5/1/2005, uku. 29

    12/1/2003, uku. 22

    8/1/2002, kur. 17-18

    Amkeni!,

    10/8/2005, uku. 27

    Shule ya Huduma, kur. 131-132

    Kutoa Sababu, uku. 404

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 5/1 29; g05 10/8 27; rs 404; w03 12/1 22; w02 8/1 17-18; be 131-132

1 Timotheo 2:11

Marejeo

  • +Efe 5:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    7/8/1994, uku. 13

    Kutoa Sababu, uku. 402

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 402

1 Timotheo 2:12

Marejeo

  • +1Ko 14:34
  • +Mwa 3:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2007, uku. 4

    3/1/1989, uku. 6

    Amkeni!,

    7/8/1994, kur. 12-13

    Kutoa Sababu, uku. 402

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 1/15 4; rs 402

1 Timotheo 2:13

Marejeo

  • +Mwa 2:18; 1Ko 11:8

1 Timotheo 2:14

Marejeo

  • +Mwa 3:6
  • +Mwa 3:13
  • +2Ko 11:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2020, uku. 4

    Ufahamu,

    Amkeni!,

    9/8/1998, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    g98 9/8 26

1 Timotheo 2:15

Marejeo

  • +1Ti 5:14
  • +1Ti 2:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2017, uku. 6

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 30

    5/1/2005, uku. 29

    1/15/1991, uku. 30

    3/1/1988, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 30; w05 5/1 29

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Tim. 2:1Ro 12:12
1 Tim. 2:1Gal 3:28
1 Tim. 2:2Mdo 26:27
1 Tim. 2:2Mt 5:44; 1Pe 2:14
1 Tim. 2:2Yer 29:7
1 Tim. 2:3Ro 12:2
1 Tim. 2:3Yud 25
1 Tim. 2:4Ro 5:18; 9:24; 1Ti 4:10
1 Tim. 2:4Isa 45:22; Mdo 17:30; 1Ko 12:13
1 Tim. 2:4Efe 1:17; Flp 1:9
1 Tim. 2:42Ti 2:25
1 Tim. 2:5Kum 6:4; Ro 3:30; 1Ko 8:4
1 Tim. 2:5Ebr 8:6; 9:15; 12:24
1 Tim. 2:5Gal 3:20
1 Tim. 2:51Ko 11:25; Gal 3:29; Efe 5:27; Ebr 2:16
1 Tim. 2:5Mdo 4:12; Ro 5:15; Kol 2:13; 2Ti 1:10
1 Tim. 2:6Mt 20:28; Mk 10:45; Kol 1:14
1 Tim. 2:7Mdo 9:15
1 Tim. 2:7Ro 1:5; Gal 2:8
1 Tim. 2:7Ro 9:1
1 Tim. 2:7Gal 1:16
1 Tim. 2:7Ro 3:22; Gal 5:6
1 Tim. 2:8Zb 141:2
1 Tim. 2:8Gal 5:20; Yak 1:20
1 Tim. 2:8Flp 2:14
1 Tim. 2:9Yak 3:17
1 Tim. 2:91Pe 3:3
1 Tim. 2:10Met 31:30; 1Pe 3:4
1 Tim. 2:10Mdo 21:9
1 Tim. 2:11Efe 5:24
1 Tim. 2:121Ko 14:34
1 Tim. 2:12Mwa 3:16
1 Tim. 2:13Mwa 2:18; 1Ko 11:8
1 Tim. 2:14Mwa 3:6
1 Tim. 2:14Mwa 3:13
1 Tim. 2:142Ko 11:3
1 Tim. 2:151Ti 5:14
1 Tim. 2:151Ti 2:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Timotheo 2:1-15

1 Timotheo

2 Kwa hiyo ninahimiza, kwanza kabisa, kwamba dua, sala,+ maombezi, kutoa shukrani, yafanywe kwa ajili ya watu wa namna zote,+ 2 kwa ajili ya wafalme+ na wale wote walio katika cheo cha juu;+ ili tuendelee kuishi maisha shwari na matulivu pamoja na ujitoaji-kimungu kamili na kuchukua mambo kwa uzito.+ 3 Hili ni zuri nalo linakubalika+ machoni pa Mwokozi wetu, Mungu,+ 4 ambaye mapenzi yake ni kwamba watu wa namna zote+ waokolewe+ na kupata ujuzi sahihi+ wa kweli.+ 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi+ mmoja kati ya Mungu+ na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote+—hili ndilo litakalotolewa ushahidi kwenye nyakati zake maalumu. 7 Kwa kusudi la ushahidi+ huo mimi niliwekwa rasmi kuwa mhubiri na mtume+—ninasema kweli,+ sisemi uwongo—mwalimu wa mataifa+ katika jambo linalohusu imani+ na kweli.

8 Kwa hiyo natamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kutoa sala, wakiinua mikono+ yenye ushikamanifu, bila ghadhabu+ na mabishano.+ 9 Vivyo hivyo natamani wanawake wajipambe kwa mavazi yenye mpangilio mzuri, pamoja na kiasi+ na utimamu wa akili, si kwa mitindo ya kusuka nywele na dhahabu au lulu au mavazi yaliyo ghali sana,+ 10 bali kwa njia inayowafaa wanawake wanaodai kumheshimu Mungu,+ yaani, kupitia matendo mema.+

11 Mwanamke na ajifunze akiwa kimya na kwa kujitiisha kikamili.+ 12 Simruhusu mwanamke kufundisha,+ wala kuwa na mamlaka juu ya mwanamume,+ bali kuwa kimya. 13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.+ 14 Pia, Adamu hakudanganywa,+ bali yule mwanamke alidanganywa+ kabisa naye akaingia katika kosa.+ 15 Hata hivyo, mwanamke atabaki salama kupitia kuzaa watoto,+ bora tu waendelee katika imani na upendo na utakaso pamoja na utimamu wa akili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki