Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Akafanya vivyo hivyo kuhusu kile kikombe+ pia, baada ya yeye kula mlo wa jioni, akisema: “Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya+ kwa msingi wa damu+ yangu. Endeleeni kufanya hivi, kila mara mnapokinywa, kwa kunikumbuka+ mimi.”

  • Wagalatia 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+

  • Waefeso 5:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+

  • Waebrania 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana kwa kweli yeye hawasaidii malaika hata kidogo, bali anasaidia uzao wa Abrahamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki