Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 7:1

Marejeo

  • +1Fa 8:54
  • +1Fa 18:38
  • +Law 9:24; 1Nya 21:26
  • +Kut 40:34; 1Fa 8:11

2 Mambo ya Nyakati 7:2

Marejeo

  • +Kut 40:35

2 Mambo ya Nyakati 7:3

Marejeo

  • +Kut 4:31
  • +Zb 95:6
  • +Zb 31:19; Mt 19:17
  • +Ru 2:20; Yer 31:3; Omb 3:22

2 Mambo ya Nyakati 7:4

Marejeo

  • +1Fa 8:62

2 Mambo ya Nyakati 7:5

Marejeo

  • +1Fa 8:63
  • +Hes 7:10; 2Nya 2:4; Ezr 6:16

2 Mambo ya Nyakati 7:6

Marejeo

  • +2Nya 5:11
  • +1Nya 23:5
  • +1Nya 25:7
  • +1Fa 10:12; Zb 138:8
  • +2Nya 5:13

2 Mambo ya Nyakati 7:7

Marejeo

  • +1Fa 8:64
  • +Law 1:3
  • +2Nya 4:1
  • +Law 2:1
  • +Law 4:8

2 Mambo ya Nyakati 7:8

Marejeo

  • +Law 23:34; Kum 16:13
  • +1Fa 8:65
  • +2Nya 30:13
  • +Hes 34:8; 2Fa 14:25
  • +Hes 34:5; 2Fa 24:7; Isa 27:12

2 Mambo ya Nyakati 7:9

Marejeo

  • +Law 23:36; Kum 16:8; Ne 8:18

2 Mambo ya Nyakati 7:10

Marejeo

  • +Kum 12:7; 16:15; Ne 8:10
  • +2Nya 6:41
  • +1Fa 8:66

2 Mambo ya Nyakati 7:11

Marejeo

  • +1Fa 9:1
  • +Mhu 2:4

2 Mambo ya Nyakati 7:12

Marejeo

  • +1Fa 9:2; 2Nya 1:7
  • +2Fa 20:5; Zb 66:19; Lu 1:13; Mdo 10:31; 1Pe 3:12
  • +Kum 12:5; Zb 78:68
  • +Kum 12:6; 2Nya 2:6

2 Mambo ya Nyakati 7:13

Marejeo

  • +2Nya 6:26
  • +Kum 28:38
  • +Law 26:16; Hes 16:46; Eze 14:19

2 Mambo ya Nyakati 7:14

Marejeo

  • +Kut 19:5; Kum 32:9
  • +Hes 6:27; Isa 43:10; 63:19
  • +Law 26:41; 2Nya 33:12; Yak 4:10
  • +2Nya 6:37
  • +Ho. 5:15
  • +Kum 30:2; Met 28:13; Isa 55:7
  • +2Nya 30:27
  • +2Nya 6:39; Zb 103:3
  • +Zb 60:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    1/22/1994, uku. 19

2 Mambo ya Nyakati 7:15

Marejeo

  • +2Nya 16:9
  • +2Nya 6:40

2 Mambo ya Nyakati 7:16

Marejeo

  • +Kum 12:21
  • +1Fa 8:16
  • +1Fa 9:3
  • +2Nya 6:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    3/2023, uku. 6

2 Mambo ya Nyakati 7:17

Marejeo

  • +1Fa 9:4; Zb 26:3
  • +Kum 4:40
  • +Kum 12:1
  • +Kum 4:5

2 Mambo ya Nyakati 7:18

Marejeo

  • +2Sa 7:13
  • +Zb 89:28
  • +1Fa 9:5

2 Mambo ya Nyakati 7:19

Marejeo

  • +Ebr 10:38
  • +Law 26:15; Zb 73:27
  • +Kum 28:15
  • +Yos 23:16
  • +Kut 20:5; 1Fa 9:6

2 Mambo ya Nyakati 7:20

Marejeo

  • +Kum 4:26; 2Fa 17:20
  • +1Fa 9:7
  • +2Fa 25:9
  • +Kum 28:37; Yer 24:9
  • +Zb 44:14

2 Mambo ya Nyakati 7:21

Marejeo

  • +1Fa 9:8; 2Fa 25:9; Yer 7:4
  • +2Nya 29:8; Yer 19:8; Da 9:12
  • +Kum 29:24; Yer 22:8

2 Mambo ya Nyakati 7:22

Marejeo

  • +2Nya 15:2; Zb 73:27
  • +Kut 12:51; Kum 29:25
  • +Zb 115:8; Isa 2:8; Yer 2:11; 10:14
  • +1Fa 9:9
  • +Kum 4:26; 2Nya 36:17; Yer 22:9

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 7:11Fa 8:54
2 Nya. 7:11Fa 18:38
2 Nya. 7:1Law 9:24; 1Nya 21:26
2 Nya. 7:1Kut 40:34; 1Fa 8:11
2 Nya. 7:2Kut 40:35
2 Nya. 7:3Kut 4:31
2 Nya. 7:3Zb 95:6
2 Nya. 7:3Zb 31:19; Mt 19:17
2 Nya. 7:3Ru 2:20; Yer 31:3; Omb 3:22
2 Nya. 7:41Fa 8:62
2 Nya. 7:51Fa 8:63
2 Nya. 7:5Hes 7:10; 2Nya 2:4; Ezr 6:16
2 Nya. 7:62Nya 5:11
2 Nya. 7:61Nya 23:5
2 Nya. 7:61Nya 25:7
2 Nya. 7:61Fa 10:12; Zb 138:8
2 Nya. 7:62Nya 5:13
2 Nya. 7:71Fa 8:64
2 Nya. 7:7Law 1:3
2 Nya. 7:72Nya 4:1
2 Nya. 7:7Law 2:1
2 Nya. 7:7Law 4:8
2 Nya. 7:8Law 23:34; Kum 16:13
2 Nya. 7:81Fa 8:65
2 Nya. 7:82Nya 30:13
2 Nya. 7:8Hes 34:8; 2Fa 14:25
2 Nya. 7:8Hes 34:5; 2Fa 24:7; Isa 27:12
2 Nya. 7:9Law 23:36; Kum 16:8; Ne 8:18
2 Nya. 7:10Kum 12:7; 16:15; Ne 8:10
2 Nya. 7:102Nya 6:41
2 Nya. 7:101Fa 8:66
2 Nya. 7:111Fa 9:1
2 Nya. 7:11Mhu 2:4
2 Nya. 7:121Fa 9:2; 2Nya 1:7
2 Nya. 7:122Fa 20:5; Zb 66:19; Lu 1:13; Mdo 10:31; 1Pe 3:12
2 Nya. 7:12Kum 12:5; Zb 78:68
2 Nya. 7:12Kum 12:6; 2Nya 2:6
2 Nya. 7:132Nya 6:26
2 Nya. 7:13Kum 28:38
2 Nya. 7:13Law 26:16; Hes 16:46; Eze 14:19
2 Nya. 7:14Kut 19:5; Kum 32:9
2 Nya. 7:14Hes 6:27; Isa 43:10; 63:19
2 Nya. 7:14Law 26:41; 2Nya 33:12; Yak 4:10
2 Nya. 7:142Nya 6:37
2 Nya. 7:14Ho. 5:15
2 Nya. 7:14Kum 30:2; Met 28:13; Isa 55:7
2 Nya. 7:142Nya 30:27
2 Nya. 7:142Nya 6:39; Zb 103:3
2 Nya. 7:14Zb 60:2
2 Nya. 7:152Nya 16:9
2 Nya. 7:152Nya 6:40
2 Nya. 7:16Kum 12:21
2 Nya. 7:161Fa 8:16
2 Nya. 7:161Fa 9:3
2 Nya. 7:162Nya 6:20
2 Nya. 7:171Fa 9:4; Zb 26:3
2 Nya. 7:17Kum 4:40
2 Nya. 7:17Kum 12:1
2 Nya. 7:17Kum 4:5
2 Nya. 7:182Sa 7:13
2 Nya. 7:18Zb 89:28
2 Nya. 7:181Fa 9:5
2 Nya. 7:19Ebr 10:38
2 Nya. 7:19Law 26:15; Zb 73:27
2 Nya. 7:19Kum 28:15
2 Nya. 7:19Yos 23:16
2 Nya. 7:19Kut 20:5; 1Fa 9:6
2 Nya. 7:20Kum 4:26; 2Fa 17:20
2 Nya. 7:201Fa 9:7
2 Nya. 7:202Fa 25:9
2 Nya. 7:20Kum 28:37; Yer 24:9
2 Nya. 7:20Zb 44:14
2 Nya. 7:211Fa 9:8; 2Fa 25:9; Yer 7:4
2 Nya. 7:212Nya 29:8; Yer 19:8; Da 9:12
2 Nya. 7:21Kum 29:24; Yer 22:8
2 Nya. 7:222Nya 15:2; Zb 73:27
2 Nya. 7:22Kut 12:51; Kum 29:25
2 Nya. 7:22Zb 115:8; Isa 2:8; Yer 2:11; 10:14
2 Nya. 7:221Fa 9:9
2 Nya. 7:22Kum 4:26; 2Nya 36:17; Yer 22:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 7:1-22

2 Mambo ya Nyakati

7 Basi mara tu Sulemani alipomaliza kusali,+ moto ukashuka kutoka mbinguni,+ ukateketeza lile toleo la kuteketezwa+ na zile dhabihu, na utukufu+ wa Yehova ukaijaza nyumba ile. 2 Na makuhani hawakuweza kuingia ndani ya nyumba ya Yehova+ kwa sababu utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova. 3 Na wana wote wa Israeli walikuwa wakitazama wakati moto uliposhuka na utukufu wa Yehova ulipokuwa juu ya nyumba ile, kisha wakainama+ kifudifudi mara moja, juu ya sakafu ya mawe, wakasujudu+ na kumshukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+

4 Na mfalme na watu wote walikuwa wakitoa dhabihu mbele za Yehova.+ 5 Na Mfalme Sulemani akatoa dhabihu ya ng’ombe 22,000 na kondoo 120,000.+ Hivyo ndivyo mfalme na watu wote walivyoizindua+ nyumba ya Mungu wa kweli. 6 Na makuhani+ walikuwa wamesimama katika vituo vyao vya kazi, na Walawi+ wakiwa na vyombo vya nyimbo+ kwa Yehova ambavyo Daudi+ mfalme alikuwa amevitengeneza ili kumshukuru Yehova, “kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,” wakati Daudi alipokuwa akitoa sifa kwa mkono wao; na makuhani walikuwa wakipiga kwa sauti kubwa zile tarumbeta+ mbele zao, huku Israeli wote wakiwa wamesimama.

7 Kisha Sulemani akatakasa+ sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya nyumba ya Yehova, kwa sababu alitolea hapo yale matoleo ya kuteketezwa+ na vile vipande vya mafuta vya dhabihu za ushirika, kwa maana madhabahu ya shaba+ ambayo Sulemani alikuwa ametengeneza haikuweza kutoshea toleo la kuteketezwa na toleo la nafaka+ na vipande vya mafuta.+ 8 Na Sulemani akaifanya sherehe+ hiyo wakati huo kwa siku saba, na Israeli wote pamoja naye,+ kutaniko kubwa sana+ kuanzia maingilio ya Hamathi+ kushuka mpaka kwenye bonde la mto la Misri.+ 9 Lakini katika siku ya nane wakafanya kusanyiko kuu,+ kwa sababu kule kuzinduliwa kwa madhabahu walikuwa wamekufanya kwa siku saba na ile sherehe kwa siku saba. 10 Na katika siku ya 23 ya mwezi wa 7 akawaruhusu watu waende zao nyumbani kwao, wakiwa na shangwe+ na kuchangamka moyoni kutokana na wema+ ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi na Sulemani na Israeli watu wake.+

11 Hivyo Sulemani akaimaliza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme;+ na kila jambo ambalo lilikuwa limeingia moyoni mwa Sulemani kufanya kuhusiana na nyumba ya Yehova na nyumba yake mwenyewe yeye alifanikiwa. 12 Sasa Yehova akamtokea+ Sulemani wakati wa usiku na kumwambia: “Nimeisikia sala yako,+ nami nimechagua+ mahali hapa kwa ajili yangu mwenyewe ili pawe nyumba ya dhabihu.+ 13 Ninapofunga mbingu ili mvua isinyeshe+ nami ninapoamuru panzi waile nchi+ nami nikileta tauni katikati ya watu wangu,+ 14 na watu wangu+ ambao jina langu limeitwa+ juu yao wajinyenyekeze+ na kusali+ na kuutafuta uso wangu+ na wageuke kutoka katika njia zao mbaya,+ basi mimi nitasikia nikiwa mbinguni+ na kusamehe dhambi yao,+ nami nitaiponya nchi yao.+ 15 Sasa macho+ yangu yatakuwa wazi na masikio+ yangu yatasikiliza sala katika mahali hapa. 16 Na sasa naichagua+ na kuitakasa nyumba hii ili jina langu+ liwe hapo mpaka wakati usio na kipimo,+ na macho yangu na moyo wangu vitakuwa hapo sikuzote.+

17 “Na wewe ukitembea mbele zangu, kama Daudi+ baba yako alivyotembea, kwa kutenda kulingana na yote ambayo nimekuamuru,+ nawe uyashike masharti+ yangu na maamuzi yangu ya hukumu+ 18 mimi pia nitakifanya imara kiti cha ufalme wako,+ kama nilivyofanya agano pamoja na Daudi baba yako,+ nikisema, ‘Hakuna mwanamume wa kwako atakayekatiliwa mbali asitawale juu ya Israeli.’+ 19 Lakini mkigeuka+ nyuma na kwa kweli mziache kanuni zangu+ na amri zangu+ ambazo nimeweka mbele yenu, nanyi kwa kweli mwende kuitumikia miungu mingine+ na kuiinamia,+ 20 mimi pia nitawang’oa kutoka katika nchi yangu ambayo nimewapa;+ na nyumba hii ambayo nimeitakasa+ kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali kutoka mbele za uso wangu,+ nami nitaifanya kuwa neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu.+ 21 Na nyumba hii iliyokuwa marundo ya mabomoko,+ kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao+ na kwa hakika aseme, ‘Kwa sababu gani Yehova aliitendea hivi nchi hii na nyumba hii?’+ 22 Nao watasema, ‘Ni kwa sababu walimwacha Yehova+ Mungu wa mababu zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ nao wakashikamana na miungu mingine+ na kuiinamia na kuitumikia.+ Ndiyo sababu alileta juu yao msiba huu wote.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki