8 Na ghadhabu+ ya Yehova ikaja juu ya Yuda na Yerusalemu, hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutetemesha watu,+ kitu cha kushangaza+ na kisababishi cha kupiga mluzi,+ kama vile mnavyoona kwa macho yenu wenyewe.
8 Nami nitalifanya jiji hili kuwa kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi.+ Kila aliye wa mwisho atakayepita kando yake atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+
12 Naye akayatimiza maneno yake ambayo alikuwa amesema juu yetu+ na juu ya waamuzi wetu waliotuhukumu,+ kwa kuleta juu yetu msiba mkubwa, kwa maana yaliyofanywa Yerusalemu hayajapata kufanywa chini ya mbingu zote.+