Maombolezo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+
17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+