2 Mambo ya Nyakati 29:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, ghadhabu ya Yehova ikaja dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu,+ hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutisha na cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi,* kama mnavyoona kwa macho yenu wenyewe.+
8 Kwa hiyo, ghadhabu ya Yehova ikaja dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu,+ hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutisha na cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi,* kama mnavyoona kwa macho yenu wenyewe.+