15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+
18 Na mwishowe wakaiacha nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zao, wakaanza kuitumikia miti mitakatifu+ na sanamu,+ hivi kwamba kukawa na ghadhabu juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hiyo hatia yao.+