Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 28:1

Marejeo

  • +Kut 15:26; Law 26:3; Isa 1:19; Lu 1:6
  • +Kum 26:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1995, uku. 26

Kumbukumbu la Torati 28:2

Marejeo

  • +Met 10:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    12/15/2010, kur. 19-20

    9/15/2010, kur. 7-8

    9/15/2001, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 9/15 7-8; w10 12/15 19-20; w01 9/15 10

Kumbukumbu la Torati 28:3

Marejeo

  • +Zb 107:36
  • +Kum 11:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1996, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 6/15 15

Kumbukumbu la Torati 28:4

Marejeo

  • +Law 26:9; Kum 7:13; Zb 127:3; 128:3
  • +Kum 30:9
  • +Zb 107:38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1996, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 6/15 15-16

Kumbukumbu la Torati 28:5

Marejeo

  • +Kum 26:2
  • +Kut 12:34; 23:25; Ru 1:6

Kumbukumbu la Torati 28:6

Marejeo

  • +Hes 27:17; Kum 31:2; 2Nya 1:10; Zb 91:14; 121:8

Kumbukumbu la Torati 28:7

Marejeo

  • +Law 26:7; Kum 32:30; Yos 10:11; 2Sa 22:38; Zb 89:23
  • +Kum 7:23; 2Nya 14:13; Ebr 11:34

Kumbukumbu la Torati 28:8

Marejeo

  • +Law 26:10; Met 3:10; Mal 3:10
  • +Kum 15:10

Kumbukumbu la Torati 28:9

Marejeo

  • +Kum 7:6; 1Pe 1:15
  • +Mwa 17:7; Kut 19:6; Kum 7:8; Ebr 6:13
  • +Kum 27:1

Kumbukumbu la Torati 28:10

Marejeo

  • +Hes 6:27; 2Nya 7:14; Isa 43:10; 63:19; Da 9:19; Mdo 15:17
  • +Hes 22:3; Kum 11:25; Yos 5:1

Kumbukumbu la Torati 28:11

Marejeo

  • +Kum 28:4
  • +Kum 30:9; Zb 65:9
  • +Mwa 15:18

Kumbukumbu la Torati 28:12

Marejeo

  • +Law 26:4; Kum 11:14; Yer 14:22
  • +Kum 14:29; 15:10; Zb 67:7; 115:13
  • +Kum 15:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Kumbukumbu la Torati 28:13

Marejeo

  • +1Fa 4:21
  • +Zb 119:98

Kumbukumbu la Torati 28:14

Marejeo

  • +Kum 5:32; Yos 1:7; Met 4:27; Isa 30:21
  • +Law 19:4; Kum 11:16; Zb 96:5; 1Ko 8:4

Kumbukumbu la Torati 28:15

Marejeo

  • +Law 26:16; Da 9:11; Mal 2:2; Gal 3:13

Kumbukumbu la Torati 28:16

Marejeo

  • +Yer 7:12; 26:6; Omb 1:1
  • +1Fa 17:1; Yoe 1:4; Hag 1:6

Kumbukumbu la Torati 28:17

Marejeo

  • +Kum 26:2
  • +Law 26:26; Mik 6:14

Kumbukumbu la Torati 28:18

Marejeo

  • +Kum 5:9; Omb 2:11, 19; 4:10; Ho. 9:12
  • +Law 26:20
  • +Law 26:22

Kumbukumbu la Torati 28:19

Marejeo

  • +2Nya 15:5

Kumbukumbu la Torati 28:20

Marejeo

  • +Mal 2:2
  • +1Sa 4:10; 2Fa 14:12
  • +Zb 39:11; 80:16; Isa 30:17; 51:20; Eze 5:15
  • +Law 26:31; Kum 4:26; Yos 23:16

Kumbukumbu la Torati 28:21

Marejeo

  • +Law 26:25; Yer 21:6; 24:10

Kumbukumbu la Torati 28:22

Marejeo

  • +Law 26:16
  • +Law 26:33; Yer 16:4
  • +1Fa 8:37
  • +2Nya 6:28; Amo 4:9; Hag 2:17

Kumbukumbu la Torati 28:23

Marejeo

  • +Law 26:19; Kum 11:17; 1Fa 8:35; 17:1; Yer 14:4; Amo 4:7

Kumbukumbu la Torati 28:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Kumbukumbu la Torati 28:25

Marejeo

  • +Law 26:17; Kum 32:30
  • +Yer 24:9; 29:18; Eze 23:46; Lu 21:24

Kumbukumbu la Torati 28:26

Marejeo

  • +1Sa 17:44; Zb 79:2; Yer 7:33

Kumbukumbu la Torati 28:27

Marejeo

  • +Kum 7:15; Amo 4:10

Kumbukumbu la Torati 28:28

Marejeo

  • +Mhu 7:7
  • +Kut 4:11; Law 26:16
  • +Yer 4:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 292

Kumbukumbu la Torati 28:29

Marejeo

  • +Isa 59:10; Sef 1:17
  • +Amu 3:14; 6:4; Ne 9:27; Zb 106:42

Kumbukumbu la Torati 28:30

Marejeo

  • +Yer 8:10
  • +Isa 5:9; Omb 5:2; Sef 1:13
  • +Amo 5:11; Mik 6:15

Kumbukumbu la Torati 28:31

Marejeo

  • +2Sa 22:42

Kumbukumbu la Torati 28:32

Marejeo

  • +2Nya 29:9; Yoe 3:6
  • +Ne 5:5

Kumbukumbu la Torati 28:33

Marejeo

  • +Law 26:16; Kum 28:51; Ne 9:37; Isa 1:7; Yer 5:17
  • +Zek 11:6

Kumbukumbu la Torati 28:34

Marejeo

  • +Kum 28:67

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 292

Kumbukumbu la Torati 28:35

Marejeo

  • +Kum 28:27; Ayu 2:7

Kumbukumbu la Torati 28:36

Marejeo

  • +2Fa 17:6; 25:7, 26; 2Nya 33:11; 36:6; Isa 39:7; Yer 22:11
  • +Kum 4:28; Yer 16:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Danieli, kur. 71-72

  • Fahirishi ya Machapisho

    dp 71-72

Kumbukumbu la Torati 28:37

Marejeo

  • +1Fa 9:8; Yer 25:9
  • +2Nya 7:20; Zb 44:14; Yer 24:9

Kumbukumbu la Torati 28:38

Marejeo

  • +Isa 5:10; Hag 1:6
  • +1Fa 8:37; 2Nya 6:28; Yoe 2:3, 25

Kumbukumbu la Torati 28:39

Marejeo

  • +Sef 1:13
  • +Yon 4:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2006, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 6/15 18

Kumbukumbu la Torati 28:40

Marejeo

  • +Mik 6:15

Kumbukumbu la Torati 28:41

Marejeo

  • +Kum 28:32; 2Fa 24:14; Yer 52:15, 30; Omb 1:5

Kumbukumbu la Torati 28:43

Marejeo

  • +Law 25:47

Kumbukumbu la Torati 28:44

Marejeo

  • +Kum 15:5, 6; Met 22:7
  • +Ezr 9:7

Kumbukumbu la Torati 28:45

Marejeo

  • +Kum 28:15; 29:27; Yer 26:6
  • +Law 26:28; 2Fa 17:20; Isa 1:20; Yer 24:10
  • +Kum 11:28; Zb 119:21; Yer 7:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1995, kur. 15-16

Kumbukumbu la Torati 28:46

Marejeo

  • +Yer 25:18; Eze 14:8; 1Ko 10:11

Kumbukumbu la Torati 28:47

Marejeo

  • +Ne 8:10; Zb 100:2
  • +Kum 12:7; 32:15; Ne 9:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 120

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1995, kur. 15-16

Kumbukumbu la Torati 28:48

Marejeo

  • +2Nya 12:8; Yer 5:19; 17:4
  • +Yer 44:27
  • +Yer 28:14

Kumbukumbu la Torati 28:49

Marejeo

  • +Yer 6:22; Hab 1:6
  • +Yer 4:13; Omb 4:19; Ho. 8:1
  • +Isa 28:11; Yer 5:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Kumbukumbu la Torati 28:50

Marejeo

  • +Eze 21:31
  • +2Nya 36:17; Isa 47:6; Lu 19:44

Kumbukumbu la Torati 28:51

Marejeo

  • +Kum 28:33
  • +Law 26:26; Yer 15:13

Kumbukumbu la Torati 28:52

Marejeo

  • +2Fa 17:5; 25:1; Yer 39:1; Lu 19:43

Kumbukumbu la Torati 28:53

Marejeo

  • +Law 26:29; 2Fa 6:28; Yer 19:9; Omb 2:20; 4:10; Eze 5:10

Kumbukumbu la Torati 28:54

Marejeo

  • +Kum 15:9; Met 23:6

Kumbukumbu la Torati 28:55

Marejeo

  • +Kum 28:48; Yer 52:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1989, uku. 29

Kumbukumbu la Torati 28:56

Marejeo

  • +Omb 4:5

Kumbukumbu la Torati 28:57

Marejeo

  • +Isa 49:15
  • +Kum 28:53

Kumbukumbu la Torati 28:58

Marejeo

  • +Kut 24:7; Law 26:15; Kum 31:26
  • +Kut 14:4; Law 10:3; Zb 72:19
  • +Kum 10:17; Ne 1:5; Zb 99:3; Isa 29:23
  • +Kut 3:15; 6:3; 20:2; Zb 83:18; 113:3; Isa 42:8; Mal 2:2

Kumbukumbu la Torati 28:59

Marejeo

  • +Law 26:21; 2Nya 21:14; Da 9:12
  • +Kum 28:22; 2Nya 21:15

Kumbukumbu la Torati 28:60

Marejeo

  • +Kum 7:12, 15; 28:27; Amo 4:10

Kumbukumbu la Torati 28:62

Marejeo

  • +Kum 4:27
  • +Kum 10:22; 26:5; Ne 9:23

Kumbukumbu la Torati 28:63

Marejeo

  • +Kum 30:9
  • +Met 1:26
  • +Yer 12:14; 18:7

Kumbukumbu la Torati 28:64

Marejeo

  • +Law 26:33; Kum 4:27; Ne 1:8; Lu 21:24
  • +Kum 4:28; 28:36; Yer 16:13

Kumbukumbu la Torati 28:65

Marejeo

  • +Eze 5:12; Amo 9:4
  • +Law 26:36; Eze 12:19
  • +Law 26:16

Kumbukumbu la Torati 28:66

Marejeo

  • +Ebr 10:27

Kumbukumbu la Torati 28:67

Marejeo

  • +Kum 28:34

Kumbukumbu la Torati 28:68

Marejeo

  • +Kut 14:13; Yer 44:12; Ho. 9:3
  • +Ne 5:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 28:1Kut 15:26; Law 26:3; Isa 1:19; Lu 1:6
Kum. 28:1Kum 26:19
Kum. 28:2Met 10:22
Kum. 28:3Zb 107:36
Kum. 28:3Kum 11:14
Kum. 28:4Law 26:9; Kum 7:13; Zb 127:3; 128:3
Kum. 28:4Kum 30:9
Kum. 28:4Zb 107:38
Kum. 28:5Kum 26:2
Kum. 28:5Kut 12:34; 23:25; Ru 1:6
Kum. 28:6Hes 27:17; Kum 31:2; 2Nya 1:10; Zb 91:14; 121:8
Kum. 28:7Law 26:7; Kum 32:30; Yos 10:11; 2Sa 22:38; Zb 89:23
Kum. 28:7Kum 7:23; 2Nya 14:13; Ebr 11:34
Kum. 28:8Law 26:10; Met 3:10; Mal 3:10
Kum. 28:8Kum 15:10
Kum. 28:9Kum 7:6; 1Pe 1:15
Kum. 28:9Mwa 17:7; Kut 19:6; Kum 7:8; Ebr 6:13
Kum. 28:9Kum 27:1
Kum. 28:10Hes 6:27; 2Nya 7:14; Isa 43:10; 63:19; Da 9:19; Mdo 15:17
Kum. 28:10Hes 22:3; Kum 11:25; Yos 5:1
Kum. 28:11Kum 28:4
Kum. 28:11Kum 30:9; Zb 65:9
Kum. 28:11Mwa 15:18
Kum. 28:12Law 26:4; Kum 11:14; Yer 14:22
Kum. 28:12Kum 14:29; 15:10; Zb 67:7; 115:13
Kum. 28:12Kum 15:6
Kum. 28:131Fa 4:21
Kum. 28:13Zb 119:98
Kum. 28:14Kum 5:32; Yos 1:7; Met 4:27; Isa 30:21
Kum. 28:14Law 19:4; Kum 11:16; Zb 96:5; 1Ko 8:4
Kum. 28:15Law 26:16; Da 9:11; Mal 2:2; Gal 3:13
Kum. 28:16Yer 7:12; 26:6; Omb 1:1
Kum. 28:161Fa 17:1; Yoe 1:4; Hag 1:6
Kum. 28:17Kum 26:2
Kum. 28:17Law 26:26; Mik 6:14
Kum. 28:18Kum 5:9; Omb 2:11, 19; 4:10; Ho. 9:12
Kum. 28:18Law 26:20
Kum. 28:18Law 26:22
Kum. 28:192Nya 15:5
Kum. 28:20Mal 2:2
Kum. 28:201Sa 4:10; 2Fa 14:12
Kum. 28:20Zb 39:11; 80:16; Isa 30:17; 51:20; Eze 5:15
Kum. 28:20Law 26:31; Kum 4:26; Yos 23:16
Kum. 28:21Law 26:25; Yer 21:6; 24:10
Kum. 28:22Law 26:16
Kum. 28:22Law 26:33; Yer 16:4
Kum. 28:221Fa 8:37
Kum. 28:222Nya 6:28; Amo 4:9; Hag 2:17
Kum. 28:23Law 26:19; Kum 11:17; 1Fa 8:35; 17:1; Yer 14:4; Amo 4:7
Kum. 28:25Law 26:17; Kum 32:30
Kum. 28:25Yer 24:9; 29:18; Eze 23:46; Lu 21:24
Kum. 28:261Sa 17:44; Zb 79:2; Yer 7:33
Kum. 28:27Kum 7:15; Amo 4:10
Kum. 28:28Mhu 7:7
Kum. 28:28Kut 4:11; Law 26:16
Kum. 28:28Yer 4:9
Kum. 28:29Isa 59:10; Sef 1:17
Kum. 28:29Amu 3:14; 6:4; Ne 9:27; Zb 106:42
Kum. 28:30Yer 8:10
Kum. 28:30Isa 5:9; Omb 5:2; Sef 1:13
Kum. 28:30Amo 5:11; Mik 6:15
Kum. 28:312Sa 22:42
Kum. 28:322Nya 29:9; Yoe 3:6
Kum. 28:32Ne 5:5
Kum. 28:33Law 26:16; Kum 28:51; Ne 9:37; Isa 1:7; Yer 5:17
Kum. 28:33Zek 11:6
Kum. 28:34Kum 28:67
Kum. 28:35Kum 28:27; Ayu 2:7
Kum. 28:362Fa 17:6; 25:7, 26; 2Nya 33:11; 36:6; Isa 39:7; Yer 22:11
Kum. 28:36Kum 4:28; Yer 16:13
Kum. 28:371Fa 9:8; Yer 25:9
Kum. 28:372Nya 7:20; Zb 44:14; Yer 24:9
Kum. 28:38Isa 5:10; Hag 1:6
Kum. 28:381Fa 8:37; 2Nya 6:28; Yoe 2:3, 25
Kum. 28:39Sef 1:13
Kum. 28:39Yon 4:7
Kum. 28:40Mik 6:15
Kum. 28:41Kum 28:32; 2Fa 24:14; Yer 52:15, 30; Omb 1:5
Kum. 28:43Law 25:47
Kum. 28:44Kum 15:5, 6; Met 22:7
Kum. 28:44Ezr 9:7
Kum. 28:45Kum 28:15; 29:27; Yer 26:6
Kum. 28:45Law 26:28; 2Fa 17:20; Isa 1:20; Yer 24:10
Kum. 28:45Kum 11:28; Zb 119:21; Yer 7:24
Kum. 28:46Yer 25:18; Eze 14:8; 1Ko 10:11
Kum. 28:47Ne 8:10; Zb 100:2
Kum. 28:47Kum 12:7; 32:15; Ne 9:35
Kum. 28:482Nya 12:8; Yer 5:19; 17:4
Kum. 28:48Yer 44:27
Kum. 28:48Yer 28:14
Kum. 28:49Yer 6:22; Hab 1:6
Kum. 28:49Yer 4:13; Omb 4:19; Ho. 8:1
Kum. 28:49Isa 28:11; Yer 5:15
Kum. 28:50Eze 21:31
Kum. 28:502Nya 36:17; Isa 47:6; Lu 19:44
Kum. 28:51Kum 28:33
Kum. 28:51Law 26:26; Yer 15:13
Kum. 28:522Fa 17:5; 25:1; Yer 39:1; Lu 19:43
Kum. 28:53Law 26:29; 2Fa 6:28; Yer 19:9; Omb 2:20; 4:10; Eze 5:10
Kum. 28:54Kum 15:9; Met 23:6
Kum. 28:55Kum 28:48; Yer 52:6
Kum. 28:56Omb 4:5
Kum. 28:57Isa 49:15
Kum. 28:57Kum 28:53
Kum. 28:58Kut 24:7; Law 26:15; Kum 31:26
Kum. 28:58Kut 14:4; Law 10:3; Zb 72:19
Kum. 28:58Kum 10:17; Ne 1:5; Zb 99:3; Isa 29:23
Kum. 28:58Kut 3:15; 6:3; 20:2; Zb 83:18; 113:3; Isa 42:8; Mal 2:2
Kum. 28:59Law 26:21; 2Nya 21:14; Da 9:12
Kum. 28:59Kum 28:22; 2Nya 21:15
Kum. 28:60Kum 7:12, 15; 28:27; Amo 4:10
Kum. 28:62Kum 4:27
Kum. 28:62Kum 10:22; 26:5; Ne 9:23
Kum. 28:63Kum 30:9
Kum. 28:63Met 1:26
Kum. 28:63Yer 12:14; 18:7
Kum. 28:64Law 26:33; Kum 4:27; Ne 1:8; Lu 21:24
Kum. 28:64Kum 4:28; 28:36; Yer 16:13
Kum. 28:65Eze 5:12; Amo 9:4
Kum. 28:65Law 26:36; Eze 12:19
Kum. 28:65Law 26:16
Kum. 28:66Ebr 10:27
Kum. 28:67Kum 28:34
Kum. 28:68Kut 14:13; Yer 44:12; Ho. 9:3
Kum. 28:68Ne 5:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 28:1-68

Kumbukumbu la Torati

28 “Na itatukia kwamba ikiwa hakika utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri zake zote ninazokuamuru leo,+ Yehova Mungu wako atakuweka juu, juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+ 2 Nazo baraka hizi zote zitakujia na kukufikia,+ kwa sababu umeendelea kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako:

3 “Utabarikiwa jijini,+ nawe utabarikiwa shambani.+

4 “Utabarikiwa uzao wa tumbo+ lako na mazao ya udongo wako na uzao wa mnyama wako wa kufugwa,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+

5 “Kitabarikiwa kikapu+ chako na kikandio chako.+

6 “Utabarikiwa unapoingia ndani, na utabarikiwa unapotoka nje.+

7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+ 8 Yehova atakuagizia baraka kwenye maghala yako ya chakula+ na kila kazi unayofanya,+ naye hakika atakubariki katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe. 9 Yehova atakuweka kuwa kikundi chake kitakatifu cha watu,+ kama vile alivyokuapia,+ kwa sababu uliendelea kushika amri+ za Yehova Mungu wako, nawe umetembea katika njia zake. 10 Na vikundi vyote vya watu wa dunia vitalazimika kuona kwamba jina la Yehova limeitwa juu yako,+ nao kwa kweli watakuogopa wewe.+

11 “Yehova pia atakufanya ufurike kwelikweli kwa ufanisi katika uzao wa tumbo+ lako na uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako,+ katika udongo ambao Yehova aliwaapia mababu zako kwamba atakupa wewe.+ 12 Yehova atakufungulia ghala lake zuri, mbingu, ili kunyesha mvua juu ya nchi yako katika majira+ yake na kubariki kila tendo la mkono wako;+ nawe hakika utakopesha mataifa mengi, hali wewe mwenyewe hutakopa.+ 13 Na Yehova kwa kweli atakuweka kuwa kichwa wala si mkia; nawe utakuwa juu tu,+ wala hutakuwa chini, kwa sababu unaendelea kutii amri+ za Yehova Mungu wako, ambazo ninakuamuru wewe leo ili uzishike na kuzifanya. 14 Nawe usigeuke kando ya maneno yote ninayowaamuru ninyi leo, upande wa kuume au upande wa kushoto,+ kutembea kwa kuifuata miungu mingine ili kuitumikia.+

15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

16 “Utalaaniwa jijini,+ nawe utalaaniwa shambani.+

17 “Kitalaaniwa kikapu+ chako na kikandio+ chako.

18 “Utalaaniwa uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+

19 “Utalaaniwa unapoingia ndani, nawe utalaaniwa unapotoka nje.+

20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+ 21 Yehova atasababisha tauni ishikamane nawe mpaka awe amekuangamiza kutoka katika nchi ambayo unaenda kuimiliki.+ 22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia. 23 Anga zako zilizo juu ya kichwa chako pia zitakuwa shaba, na nchi iliyo chini yako itakuwa chuma.+ 24 Yehova atanyesha ungaunga na vumbi kama mvua ya nchi yako. Kutoka mbinguni itakuja juu yako mpaka utakapokuwa umeangamizwa kabisa. 25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+ 26 Na maiti yako itakuwa chakula kwa ajili ya kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kwa mnyama wa porini, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+

27 “Yehova atakupiga kwa jipu la Misri+ na bawasiri na ukurutu na upele wa ngozi, nawe hutaweza kupona magonjwa hayo. 28 Yehova atakupiga kwa wazimu+ na kupoteza uwezo wa kuona+ na kuchanganyikiwa kwa moyo.+ 29 Nawe kwa kweli utakuwa mtu anayepapasa-papasa katikati ya mchana, kama vile kipofu anavyopapasa-papasa gizani,+ nawe hutafanya njia zako zifanikiwe; nawe utakuwa mtu tu ambaye sikuzote hupunjwa na kunyang’anywa, pasipo mtu wa kukuokoa.+ 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamlala kinguvu.+ Utajenga nyumba, lakini hutakaa ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kutumia matunda yake.+ 31 Ng’ombe-dume wako atachinjwa hapo mbele ya macho yako—lakini hutakula sehemu yoyote yake. Utanyang’anywa punda wako mbele ya uso wako—lakini hatarudi kwako. Kondoo wako watapewa adui zako—lakini hutakuwa na mwokozi yeyote.+ 32 Wana wako na binti zako watapewa watu wengine+ na macho yako yakitazama na kuwatamani sikuzote—lakini mikono yako itakuwa haina nguvu.+ 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+ 34 Nawe utatiwa wazimu kwa kuona kwa macho yako mambo ambayo utaona.+

35 “Yehova atakupiga kwa jipu hatari kwenye magoti yote mawili na miguu yote miwili, ambalo hutaweza kupona, kutoka wayo wa mguu wako mpaka utosi wa kichwa chako.+ 36 Yehova atakufanya wewe na mfalme wako ambaye umemweka juu yako mpige mwendo+ mpaka taifa ambalo hukujua, wala wewe wala mababu zako; na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine, ya miti na ya mawe.+ 37 Nawe utakuwa kitu cha kushangaza,+ neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu ambao Yehova atakuongoza kwao.

38 “Utapeleka mbegu nyingi shambani, lakini utakusanya chache,+ kwa sababu nzige wataimeza.+ 39 Mashamba ya mizabibu utayapanda na hakika utayapalilia, lakini pia hutakunywa divai yoyote wala kukusanya chochote,+ kwa sababu mdudu atazila.+ 40 Pia utakuwa na mizeituni katika eneo lako, lakini hutajipaka mafuta yoyote, kwa sababu zeituni zako zitaanguka.+ 41 Utazaa wana na mabinti, lakini hawataendelea kuwa wako, kwa sababu wataenda utekwani.+ 42 Miti yako yote na mazao ya udongo wako wadudu wenye kuvuma watamiliki. 43 Mkaaji mgeni aliye katikati yako ataendelea kupanda zaidi na zaidi juu yako, lakini wewe—wewe utaendelea kushuka chini zaidi na zaidi.+ 44 Yeye ndiye atakayekukopesha, lakini wewe—wewe hutamkopesha.+ Yeye atakuwa kichwa, lakini wewe—wewe utakuwa mkia.+

45 “Na laana zote hizo+ hakika zitakujia na kukufuata na kukufikia mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri zake na kanuni zake alizokuamuru.+ 46 Nazo zitaendelea kuwa juu yako na uzao wako kama ishara na kitu cha ajabu mpaka wakati usio na kipimo,+ 47 kwa sababu hukumtumikia Yehova Mungu wako kwa kushangilia na shangwe+ ya moyo kwa ajili ya wingi wa kila kitu.+ 48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+

49 “Yehova atainua juu yako taifa la mbali, kutoka mwisho wa dunia,+ kama vile tai anavyorukia windo,+ taifa ambalo lugha yake hutaielewa,+ 50 taifa lenye sura kali,+ ambalo halitapendelea mwanamume mzee wala kumwonyesha kibali kijana.+ 51 Nao hakika watakula uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ nao hawatakuachia nafaka yoyote, divai mpya au mafuta, mtoto wa ng’ombe wako au uzao wa kundi lako, mpaka watakapokuwa wamekuangamiza.+ 52 Nao kwa kweli watakuzingira ndani ya malango yako yote mpaka kuta zako ndefu na zenye ngome ambazo unazitumaini zitakapoanguka katika nchi yako yote, naam, hakika watakuzingira ndani ya malango yako katika nchi yako yote, ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+ 53 Ndipo utalazimika kula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na binti zako,+ ambao Yehova Mungu wako amekupa wewe, kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao.

54 “Naye mwanamume aliye mwororo sana na aliye laini kati yako, jicho+ lake litakuwa na mwelekeo mwovu kwa ndugu yake na mke wake anayetunzwa kwa upendo na mabaki ya wanawe aliobaki nao, 55 ili asimpe yeyote kati yao nyama yoyote ya wanawe ambayo atakula, kwa kuwa hana chochote alichobaki nacho kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao ndani ya malango yako yote.+ 56 Naye mwanamke aliye mwororo sana na aliye laini kati yako ambaye hakujaribu kamwe kuuweka wayo wa mguu wake kwenye udongo kwa kuwa alikuwa laini na kwa sababu ya wororo wake,+ jicho lake litakuwa na mwelekeo mwovu kwa mume wake anayetunzwa kwa upendo na mwana wake na binti yake, 57 naam, kuelekea kondo la nyuma linalotoka katikati ya miguu yake na kuelekea wanawe ambao amewazaa,+ kwa sababu atawala katika siri kwa sababu ya uhitaji wa kila kitu kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao ndani ya malango yako.+

58 “Ikiwa hutakuwa mwangalifu kutimiza maneno yote ya sheria hii ambayo yameandikwa katika kitabu+ hiki ili kuliogopa hili jina tukufu+ na lenye kuogopesha,+ naam,Yehova,+ Mungu wako, 59 ndipo hakika Yehova atayafanya mapigo yako na mapigo ya uzao wako yawe makali sana, mapigo makuu na yenye kudumu kwa muda mrefu,+ na magonjwa hatari na yenye kudumu kwa muda mrefu.+ 60 Naye atarudisha juu yako magonjwa yote ya Misri ambayo ulihofu mbele yake, nayo yatajishikilia kwako.+ 61 Tena, ugonjwa wowote na pigo lolote ambalo halijaandikwa katika kitabu cha sheria hii, Yehova ataleta hayo juu yako mpaka uwe umeangamizwa. 62 Nanyi mtaachwa na hesabu ndogo sana,+ ijapokuwa mmekuwa kama nyota za mbinguni kwa wingi,+ kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako.

63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+

64 “Na Yehova atakutawanya katikati ya vikundi vyote vya watu kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia,+ na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine ambayo hukuijua, wala wewe wala mababu zako, miti na mawe.+ 65 Na kati ya mataifa hayo hutakuwa na starehe yoyote,+ wala hakutakuwa na mahali popote pa kupumzika kwa ajili ya wayo wa mguu wako; naye Yehova kwa kweli atakupa huko moyo wa kutetemeka+ na kufifia kwa macho+ na kukata tamaa kwa nafsi. 66 Nawe hakika utakuwa katika hatari kubwa zaidi ya maisha yako na kuwa katika hofu usiku na mchana, nawe hutakuwa na hakika ya uhai wako.+ 67 Wakati wa asubuhi utasema, ‘Laiti ingekuwa jioni!’ na jioni utasema, ‘Laiti ingekuwa asubuhi!’ kwa sababu ya hofu ya moyo wako, hofu ambayo utakuwa nayo na kwa sababu ya kuona kwa macho yako mambo ambayo utayaona.+ 68 Na hakika Yehova atakurudisha Misri kwa meli katika njia ambayo nilikuambia hivi kuihusu, ‘Hutaiona tena kamwe,’+ nanyi mtalazimika kujiuza huko kwa adui zenu kuwa watumwa na vijakazi,+ lakini hakutakuwa na mtu wa kuwanunua.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki