18 yaani, Yerusalemu na majiji ya Yuda na wafalme wake, wakuu wake, ili kuyafanya kuwa ukiwa, kitu cha kushangaza,+ kitu cha kupigiwa mluzi na laana, kama ilivyo leo hii;+
8 Nami nitauelekeza uso wangu juu ya mtu huyo+ na kumweka awe ishara+ na maneno ya kimethali,+ nami nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wangu;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’+