Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 yaani, Yerusalemu na majiji ya Yuda na wafalme wake, wakuu wake, ili kuyafanya kuwa ukiwa, kitu cha kushangaza,+ kitu cha kupigiwa mluzi na laana, kama ilivyo leo hii;+

  • Ezekieli 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitauelekeza uso wangu juu ya mtu huyo+ na kumweka awe ishara+ na maneno ya kimethali,+ nami nitamkatilia mbali kutoka katikati ya watu wangu;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’+

  • 1 Wakorintho 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki