Kumbukumbu la Torati 28:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nawe utakuwa kitu cha kushangaza,+ neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu ambao Yehova atakuongoza kwao. Yeremia 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 mimi pia nitawatoa kwa ajili ya kutetemesha, kwa ajili ya msiba, katika falme zote za dunia,+ kwa ajili ya shutuma na kwa ajili ya neno la kimethali, kwa ajili ya suto+ na kwa ajili ya laana,+ katika mahali pote nitakapowatawanya.+
37 Nawe utakuwa kitu cha kushangaza,+ neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu ambao Yehova atakuongoza kwao.
9 mimi pia nitawatoa kwa ajili ya kutetemesha, kwa ajili ya msiba, katika falme zote za dunia,+ kwa ajili ya shutuma na kwa ajili ya neno la kimethali, kwa ajili ya suto+ na kwa ajili ya laana,+ katika mahali pote nitakapowatawanya.+