20 mimi pia nitawang’oa kutoka katika nchi yangu ambayo nimewapa;+ na nyumba hii ambayo nimeitakasa+ kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali kutoka mbele za uso wangu,+ nami nitaifanya kuwa neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu.+
9 mimi pia nitawatoa kwa ajili ya kutetemesha, kwa ajili ya msiba, katika falme zote za dunia,+ kwa ajili ya shutuma na kwa ajili ya neno la kimethali, kwa ajili ya suto+ na kwa ajili ya laana,+ katika mahali pote nitakapowatawanya.+