Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • Kumbukumbu la Torati 29:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya nchi hiyo kwa kuleta juu yake laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki.+

  • Yeremia 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 mimi, kwa upande wangu, nitaifanya nyumba hii kama ile iliyo katika Shilo,+ na jiji hili nitalifanya kuwa laana kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+

  • Yeremia 29:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na kutoka kwao hakika laana itachukuliwa na kundi zima la wahamishwa walio katika Babiloni, na kusema: “Yehova na akufanye kama Sedekia na kama Ahabu,+ ambao mfalme wa Babiloni aliwachoma motoni!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki