15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+
22 Na kutoka kwao hakika laana itachukuliwa na kundi zima la wahamishwa walio katika Babiloni, na kusema: “Yehova na akufanye kama Sedekia na kama Ahabu,+ ambao mfalme wa Babiloni aliwachoma motoni!”+