20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu.
15 Nanyi hakika mtaweka jina lenu kuwa kiapo kwa wachaguliwa wangu, na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova kwa kweli atawaua ninyi mmoja mmoja,+ lakini watumishi wake atawaita kwa jina lingine;+