Isaya 62:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Na mataifa hakika yatauona uadilifu wako,+ Ee mwanamke,+ na wafalme wote utukufu wako.+ Na hakika wewe utaitwa kwa jina jipya,+ ambalo kinywa cha Yehova kitalichagua. Yeremia 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa hivi, Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+ Waroma 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 na mahali ambapo waliambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ hapo wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ ”+
2 “Na mataifa hakika yatauona uadilifu wako,+ Ee mwanamke,+ na wafalme wote utukufu wako.+ Na hakika wewe utaitwa kwa jina jipya,+ ambalo kinywa cha Yehova kitalichagua.
16 Katika siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa hivi, Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+