Hosea 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Na hesabu ya wana wa Israeli itakuwa kama chembe za mchanga wa bahari ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na itakuwa kwamba mahali ambapo walikuwa wakiambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’+ wataambiwa, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+ Wagalatia 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ninyi nyote, kwa kweli, ni wana+ wa Mungu kupitia imani yenu katika Kristo Yesu.
10 “Na hesabu ya wana wa Israeli itakuwa kama chembe za mchanga wa bahari ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na itakuwa kwamba mahali ambapo walikuwa wakiambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’+ wataambiwa, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+