Waroma 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 na mahali ambapo waliambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ hapo wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ ”+ 1 Petro 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kuwa wakati mmoja ninyi mlikuwa si watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ mlikuwa wale ambao hawakuwa wameonyeshwa rehema, lakini sasa ninyi ni wale ambao wameonyeshwa rehema.+
10 Kwa kuwa wakati mmoja ninyi mlikuwa si watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ mlikuwa wale ambao hawakuwa wameonyeshwa rehema, lakini sasa ninyi ni wale ambao wameonyeshwa rehema.+