Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na hesabu ya wana wa Israeli itakuwa kama chembe za mchanga wa bahari ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na itakuwa kwamba mahali ambapo walikuwa wakiambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’+ wataambiwa, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+

  • Matendo 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Simioni+ ameeleza kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+

  • Waroma 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ni kama anavyosema pia katika Hosea: “Wale ambao si watu wangu+ nitawaita ‘watu wangu,’ na mwanamke ambaye hakuwa mpendwa nitamwita ‘mpendwa’;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki