5 Tazama! Utaliita taifa ambalo hulijui,+ na watu wa taifa ambao hawakukujua watakimbia wakija kwako,+ kwa ajili ya Yehova Mungu wako,+ na kwa ajili ya Mtakatifu wa Israeli,+ kwa sababu atakuwa amekurembesha.+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+