Isaya 43:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 watu ambao nimejifanyia, ili wasimulie sifa zangu.+ Isaya 61:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+ itasemekana ninyi ni wahudumu wa Mungu wetu.+ Ninyi mtakula mali za mataifa,+ nanyi mtasema kujihusu ninyi wenyewe kwa kuchangamka katika utukufu wao.+
6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+ itasemekana ninyi ni wahudumu wa Mungu wetu.+ Ninyi mtakula mali za mataifa,+ nanyi mtasema kujihusu ninyi wenyewe kwa kuchangamka katika utukufu wao.+