Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 102:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hili limeandikwa kwa ajili ya kizazi cha wakati ujao;+

      Na watu watakaoumbwa watamsifu Yah.+

  • Isaya 42:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wamhesabie Yehova utukufu,+ nao watangaze sifa zake katika visiwa.+

  • Isaya 60:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+

  • Waebrania 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki