Zaburi 102:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hili limeandikwa kwa ajili ya kizazi cha wakati ujao;+Na watu watakaoumbwa watamsifu Yah.+ Isaya 42:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wamhesabie Yehova utukufu,+ nao watangaze sifa zake katika visiwa.+ Isaya 60:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+