Zaburi 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kurudi kwa Yehova.+Na familia zote za mataifa zitainama mbele zako.+ Isaya 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndiyo sababu katika eneo la nuru+ watamtukuza Yehova,+ katika visiwa vya bahari jina la Yehova,+ Mungu wa Israeli. Waroma 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 na kwamba mataifa+ yamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema+ yake. Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.”+
27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kurudi kwa Yehova.+Na familia zote za mataifa zitainama mbele zako.+
15 Ndiyo sababu katika eneo la nuru+ watamtukuza Yehova,+ katika visiwa vya bahari jina la Yehova,+ Mungu wa Israeli.
9 na kwamba mataifa+ yamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema+ yake. Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.”+