Zaburi 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Watakuja na kusema juu ya uadilifu wake+Kwa kikundi cha watu kitakachozaliwa, kwamba ni yeye amefanya hilo.+ Zaburi 45:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitalitaja jina lako katika vizazi vyote vitakavyokuja.+Ndiyo sababu vikundi vya watu vitakusifu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele. Isaya 43:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 watu ambao nimejifanyia, ili wasimulie sifa zangu.+
31 Watakuja na kusema juu ya uadilifu wake+Kwa kikundi cha watu kitakachozaliwa, kwamba ni yeye amefanya hilo.+
17 Nitalitaja jina lako katika vizazi vyote vitakavyokuja.+Ndiyo sababu vikundi vya watu vitakusifu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.