Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 71:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+

      Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+

      Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+

  • Zaburi 78:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ambavyo hatuwafichi wana wao,+

      Tukivisimulia hata kwa kizazi kitakachokuja,+

      Sifa za Yehova na nguvu zake+

      Na mambo yake ya ajabu ambayo amefanya.+

  • Waroma 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa+ ili kutufundisha+ sisi, ili kupitia uvumilivu+ wetu na kupitia faraja+ kutokana na Maandiko tuwe na tumaini.+

  • 1 Wakorintho 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki