Zaburi 71:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+ Zaburi 78:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ambavyo hatuwafichi wana wao,+Tukivisimulia hata kwa kizazi kitakachokuja,+Sifa za Yehova na nguvu zake+Na mambo yake ya ajabu ambayo amefanya.+ Waroma 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa+ ili kutufundisha+ sisi, ili kupitia uvumilivu+ wetu na kupitia faraja+ kutokana na Maandiko tuwe na tumaini.+ 1 Wakorintho 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+
18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+
4 Ambavyo hatuwafichi wana wao,+Tukivisimulia hata kwa kizazi kitakachokuja,+Sifa za Yehova na nguvu zake+Na mambo yake ya ajabu ambayo amefanya.+
4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa+ ili kutufundisha+ sisi, ili kupitia uvumilivu+ wetu na kupitia faraja+ kutokana na Maandiko tuwe na tumaini.+
11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+